Katika mkutano uliofanyika
Geneva, Uswisi, Mratibu wa masuala ya kibinaadamu na dharura wa Umoja
wa Mataifa, Valerie Amos, amesema kuwa nusu ya kiasi hicho cha fedha
kinahitajika kwa ajili ya Syria na mataifa jirani. Kwa ujumla msaada wa mwaka mzima utawasaidia watu milioni 52 katika mataifa 17.
