Showing posts with label 2017 at 05:44PM. Show all posts
Showing posts with label 2017 at 05:44PM. Show all posts
Halim Mdee na Ester Bulaya Wazuia Kuingia Bungeni Hadi Mwakani Kwenye Bunge la Bajeti..!!!

Halim Mdee na Ester Bulaya Wazuia Kuingia Bungeni Hadi Mwakani Kwenye Bunge la Bajeti..!!!

Halima Mdee na Esther Bulaya wamehukumiwa kutohudhuria vikao vyote vya bunge linaloendelea mpaka mkutano ujao wa Bunge la Bajeti ya 2018/19.
Hukumu hiyo imeungwa mkono na wabunge wengi waliopitisha azimio hilo.
Mapema leo, Jumatatu Kamati ya Maadili ilisema Bulaya na Mdee wamemaliza adhabu za kawaida zilizopo kwenye kanuni za bunge.
Hata hivyo, Bunge liliendelea kujadili makosa ya wabunge hao wa Bunda na Kawe.
Mwenyekiti wa kamati hiyo, George Mkuchika aliliomba Bunge kujadili adhabu inayostahili kulingana na makosa yao.
Kanuni inasema, mbunge anayefanya kosa la kwanza anaweza akazuiwa kuhudhuria vikao visivyozidi 10 na atayakosea kwa mara ya pili anaweza kuzuiwa kuhudhuria vikao visivyozidi 20.

from Blogger http://ift.tt/2qTuFFz
via IFTTT


Breaking News..Makonda Atua Bungeni Kuhojiwa …!!!

Napenda kuwajulisha kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo yuko mbele ya Kamati ya Maadili Haki na Madaraka ya Bunge.
Taarifa ya kamati itafikishwa kwenye Bunge zima na kusomwa.
Tuvute subira tujue mbivu na mbichi..
TAZAMA HARMORAPA ALIVYO TIMUA MBIO BAADA YA KUIONA BASTOLA

from Blogger http://ift.tt/2nM7x95
via IFTTT


Nape Aibuka Tena leo, Aongelea taarifa zinazomuhusisha yeye na Kinana

Moja kati ya taarifa zilizosambaa leo katika mitandao ya kijamii ni kuhusiana na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Abdularahman Kinana kuwa ataongea na vyombo vya habari saa nne asubuhi ofisi ndogo ya chama cha CCM Lumumba Dar es Salaam.
Taarifa hizo hazikuwa za kweli lakini uvumi ukaendelea kuenezwa kuwa Kinana amekatazwa kuongea na waandishi, taarifa ambazo sio za kweli pia huku ikionekana account fake ya Mbunge wa Mtama ambaye ameondolewa katika uwaziri Nape Nnauye ndio kaandika katika twitter account yake.
Hii akifafanua kuhusu ujumbe uliyoenezwa kuwa kamuandikia Kinana
Nape Nnauye ametumia ukurasa wake rasmi wa twitter kueleza kusikitishwa kwake na watu wanaozusha taarifa hizo zenye lengo la kumchafua kuhusu katibu Mkuu wa CCM Kinana, Nape ameandika kuwa hajaandika taarifa hizo zinazomuhusu Kinana.
Kutoka katika twitter ya Nape kuwa ujumbe huu sio wa kwake
TAZAMA JAMAA HUYU ALIVYOKOSWA KOSWA NA KIFO KWA AJARI MTONI

from Blogger http://ift.tt/2mz9ypQ
via IFTTT


DIAMOND AIBUKA NA KUMTETEA RC MAKONDA KUHUSU YANAYOZUSHWA MITAANI

DIAMOND AIBUKA NA KUMTETEA RC MAKONDA KUHUSU YANAYOZUSHWA MITAANI

Mwanamuziki Nasib Abdul maarufu Diamond Platnumz amejitokeza na kumuunga mkono Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwenye vita yake dhidi ya dawa za kulevya aliyoinzisha jijini hapa.
Makonda-na-Diamond-0006
Akizungumza katika matukio mawili tofauti, Diamond alisikika akisema kuwa, Paul Makonda ni mtu ambaye ni jasiri aliyethubutu kufanya kitu ambacho watu wengi na kwa miaka mingi tumekuwa tukiogopa kukifanya.
Suala la kutaja hadharani majina ya watu wanaotuhumiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya sio jambo dogo, wangapi walikuwepo na wakaondoka bila kufanya jambo lolote. Hivyo kiongozi wa mkoa kudhubutu kusimama, kuwataka na kuanza kuwashughulikia ni hatua ya kupongezwa sana, alisema Diamond.
Mimi simtetei Makonda kwa vile ni mlezi wa WCB, ninaongea kwa sababu najua madhara ya dawa hizi kwa vijana na kwa sanaa yetu.
Leo katika maadhimisho ya mwaka mmoja wa uongozi wa Makonda, Diamond Platnumz alimwambia RC Makonda kwamba asijali aendelee kupigana kwa sababu ukiona mtoto anapiga kelele basi ujue viboko vimemkolea.

from Blogger http://ift.tt/2nafdCg
via IFTTT


Kategori

Kategori