Showing posts with label 2017 at 12:07PM. Show all posts
Showing posts with label 2017 at 12:07PM. Show all posts
UNAONAJE MPIRA UKIBADILISHWA NA SHERIA HIZI ZIKAPITISHWA?

UNAONAJE MPIRA UKIBADILISHWA NA SHERIA HIZI ZIKAPITISHWA?

The International Football Assosiation Board(TIFAB) ni asasi inayohusiana na masuala ya soka kimataifa, TIFAB imekaa na kuona kuna masuala ya sheria za soka yanabidi kujadiliwa na kama ikiwezekana zibadilishwe.
Kubwa ambalo limekuwa gumzo ni suala la kupunguza muda wa kucheza soka kutoka dakika 90 zinazotumika hivi sasa hadi kuwa dakika 60 ina maana kila kipindi kitakuwa ni cha dakika thelathini thelathini.
TIFAB wana hoja kuhusu hili kwani wanadai wachezaji wanapoteza sana muda wakiwa uwanjanj na hivyo ili kudhibiti suala hilo inabidi muda wa kucheza uwanjani ubanwe na kupunguza kuwa dakika 60.
Idea nyingine ya TIFAB ni mchezaji kujipasia/kujianzia wakati akipiga faulo au kona, sheria hii ni tofauti ya sasa ambapo ukianza mpira wa free kick au kona ni lazima umpasie mchezaji mwingine ndio mpira uendelee.
Sheria nyingine ya TIFAB wamependekeza kuwepo kwa saa ya uwanja ambayo yenyewe itakuwa inaanza pamoja na ya muamuzi na kumaliza pamoja na ile saa anayotumia muamuzi wa kati.
Pia TIFAB wametaka mpira wa free kick uwe unapigwa hata kama mpira unatembea(sio lazima kusimama) na penati ikipigwa kama kipa akipangua hairuhusiwi mchezaji mwingine kwenda kufunga.
Tayari sheria zilizopendekezwa na IFAB zimeanza kufanyiwa majaribio,ikiwemo ya kapteni tu kuongea na muamuzi ambayo imeanza kufanyiea majaribio katika michuano ya Confedaration Cup.
 ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

from Blogger http://ift.tt/2sJxhq6
via IFTTT


Agness Masogange Mahakamani Tena Leo

Agness Masogange Mahakamani Tena Leo

Msanii Agnes Waya, maarufu Masogange anatarajiwa kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo wakati kesi yake ya tuhuma za kutumia dawa za kulevya inapokuja kwa kutajwa na kuangalia kama upelelezi umekamilika au la.
Masogange anatarajiwa kufikishwa mbele ya Hakimu Mkazi, Wilbard Mashauri wa mahakama hiyo, ambaye ndiye anasikiliza kesi hiyo.
Mara ya mwisho kesi hiyo ilipotajwa mahakamani hapo hakimu huyo alimpa onyo mshtakiwa huyo baada ya kuchelewa kufika katika chumba cha mahakama, hatua iliyofikiwa baada ya Wakili wa Masogange, Nictogen Itege kuieleza mahakama kuwa mteja wake yuko njiani anakuja.
Taarifa hiyo ilisababisha, Hakimu Mashauri kumuhoji kuwa mbona yeye yupo mahakamani? Akadai kuwa walipita njia tofauti ndiyo sababu ikatokea kuwa mmoja kafika mwingine bado.
Hakimu Mashauri alisema mteja wake anatakiwa afuate masharti ya dhamana na mamlaka. Hata hivyo, baada ya muda kidogo Masogange alionekana katika viwanja vya Mahakama wakati kesi yake tayari ilikuwa imeahirishwa.
Awali, akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali Constantine Kakula alidai kuwa kati ya Februari 7 na 14, 2017 katika maeneo yasiyojulikana ndani ya Jiji la Dar es Salaam Masogange alitumia dawa za kulevya aina ya Heroin (Diacety Imophine).
Katika shtaka la pili, Kakula alidai kuwa kati ya Februari 7 na 14, 2017 mtuhumiwa huyo alitumia dawa za kulevya aina ya Oxazepam na kwamba alifanya makosa hayo chini ya kifungu cha 18 (a) cha Sharia ya Kupambana na Dawa za Kulevya namba 5 ya mwaka 2015.
Baada ya kusomewa mashtaka hayo, Masogange alikana na yuko nje kwa dhamana ya wadhamini wawili waliosaini bondi ya Sh. milioni 10.

from Blogger http://ift.tt/2pGcZvI
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2o7jzv4
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o7Aeif
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pGmWcy
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oTYjpS
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oUBsdG
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2o8Gwy8
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pIHHo2
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pIXpzo
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ow3laj
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pJtzuQ
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oaxeSr
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pXLLNs
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oaU5xf
via IFTTT


VIDEO: “Sinema Zetu Zina Mapungufu Mengi Lakini Hiyo Sio Sababu za Kuacha Kudai Haki zetu” – JB

Siku chache baada ya mastaa wa Bongo movie kuandamana hadi Kariakoo wakitaka filamu za kigeni zizuiliwe nchini, kumeibuka hoja mbalimbali huku watu wengi wakioneshwa kutofurahia uamuzi huo.

Mastaa hao wa Bongo movie wakiongozwa na staa wa muda mrefu Jacob Stephen ‘JB’ wamedai kuwa kufanya hivyo ni kutokana na ukweli kwamba wanataka kuzipa nafasi zaidi filamu za Tanzania.

Kutokaka na kukosolewa kwa kitendo hicho na wadau mbalimbali nchini JB ametumia account yake ya Instagram kutoa ufafanuzi zaidi ambapo moja ya mambo aliyoyagusia ni kuwataka watu kutohusisha kila kitu na siasa akisema pia kuwa kwenye shida hatojali nani anamsaidia alimradi anagusa maslahi yake.
Bonyeza play kutazama hapa chini… 

from Blogger http://ift.tt/2pGfUSr
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2o7qO6u
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oTpm4J
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pGvqk5
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o83LZ4
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pHPfqX
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2o8LXgp
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2or4iBK
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oVTtZi
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oPKWIQ
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oWFT86
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oanLdI
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pK6BDu
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ot23gZ
via IFTTT


Agness Masogange Mahakamani Tena Leo

Agness Masogange Mahakamani Tena Leo

Msanii Agnes Waya, maarufu Masogange anatarajiwa kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo wakati kesi yake ya tuhuma za kutumia dawa za kulevya inapokuja kwa kutajwa na kuangalia kama upelelezi umekamilika au la.
Masogange anatarajiwa kufikishwa mbele ya Hakimu Mkazi, Wilbard Mashauri wa mahakama hiyo, ambaye ndiye anasikiliza kesi hiyo.
Mara ya mwisho kesi hiyo ilipotajwa mahakamani hapo hakimu huyo alimpa onyo mshtakiwa huyo baada ya kuchelewa kufika katika chumba cha mahakama, hatua iliyofikiwa baada ya Wakili wa Masogange, Nictogen Itege kuieleza mahakama kuwa mteja wake yuko njiani anakuja.
Taarifa hiyo ilisababisha, Hakimu Mashauri kumuhoji kuwa mbona yeye yupo mahakamani? Akadai kuwa walipita njia tofauti ndiyo sababu ikatokea kuwa mmoja kafika mwingine bado.
Hakimu Mashauri alisema mteja wake anatakiwa afuate masharti ya dhamana na mamlaka. Hata hivyo, baada ya muda kidogo Masogange alionekana katika viwanja vya Mahakama wakati kesi yake tayari ilikuwa imeahirishwa.
Awali, akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali Constantine Kakula alidai kuwa kati ya Februari 7 na 14, 2017 katika maeneo yasiyojulikana ndani ya Jiji la Dar es Salaam Masogange alitumia dawa za kulevya aina ya Heroin (Diacety Imophine).
Katika shtaka la pili, Kakula alidai kuwa kati ya Februari 7 na 14, 2017 mtuhumiwa huyo alitumia dawa za kulevya aina ya Oxazepam na kwamba alifanya makosa hayo chini ya kifungu cha 18 (a) cha Sharia ya Kupambana na Dawa za Kulevya namba 5 ya mwaka 2015.
Baada ya kusomewa mashtaka hayo, Masogange alikana na yuko nje kwa dhamana ya wadhamini wawili waliosaini bondi ya Sh. milioni 10.

from Blogger http://ift.tt/2pGcZvI
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oTkpJ2
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pGDSzt
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oTStoH
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oUCUgu
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2o8KBCF
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pIEEfx
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pJ85y6
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2owekAN
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pJDhxd
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oah6Ak
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pY2yQM
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ob8lpJ
via IFTTT


Kategori

Kategori