Showing posts with label April 21. Show all posts
Showing posts with label April 21. Show all posts
Agness Masogange Mahakamani Tena Leo

Agness Masogange Mahakamani Tena Leo

Msanii Agnes Waya, maarufu Masogange anatarajiwa kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo wakati kesi yake ya tuhuma za kutumia dawa za kulevya inapokuja kwa kutajwa na kuangalia kama upelelezi umekamilika au la.
Masogange anatarajiwa kufikishwa mbele ya Hakimu Mkazi, Wilbard Mashauri wa mahakama hiyo, ambaye ndiye anasikiliza kesi hiyo.
Mara ya mwisho kesi hiyo ilipotajwa mahakamani hapo hakimu huyo alimpa onyo mshtakiwa huyo baada ya kuchelewa kufika katika chumba cha mahakama, hatua iliyofikiwa baada ya Wakili wa Masogange, Nictogen Itege kuieleza mahakama kuwa mteja wake yuko njiani anakuja.
Taarifa hiyo ilisababisha, Hakimu Mashauri kumuhoji kuwa mbona yeye yupo mahakamani? Akadai kuwa walipita njia tofauti ndiyo sababu ikatokea kuwa mmoja kafika mwingine bado.
Hakimu Mashauri alisema mteja wake anatakiwa afuate masharti ya dhamana na mamlaka. Hata hivyo, baada ya muda kidogo Masogange alionekana katika viwanja vya Mahakama wakati kesi yake tayari ilikuwa imeahirishwa.
Awali, akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali Constantine Kakula alidai kuwa kati ya Februari 7 na 14, 2017 katika maeneo yasiyojulikana ndani ya Jiji la Dar es Salaam Masogange alitumia dawa za kulevya aina ya Heroin (Diacety Imophine).
Katika shtaka la pili, Kakula alidai kuwa kati ya Februari 7 na 14, 2017 mtuhumiwa huyo alitumia dawa za kulevya aina ya Oxazepam na kwamba alifanya makosa hayo chini ya kifungu cha 18 (a) cha Sharia ya Kupambana na Dawa za Kulevya namba 5 ya mwaka 2015.
Baada ya kusomewa mashtaka hayo, Masogange alikana na yuko nje kwa dhamana ya wadhamini wawili waliosaini bondi ya Sh. milioni 10.

from Blogger http://ift.tt/2pGcZvI
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2o7jzv4
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o7Aaiv
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pGEEg6
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o7WQPu
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pHtEPw
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pIJ7Pb
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pIKTQE
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ow8oaM
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pJyr2M
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oag7zR
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pY5nB0
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oaYrnV
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pKXr9S
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2otwd3L
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2ox7dIk
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pZ8RU8
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2p3QDU7
via IFTTT


VIDEO: “Sinema Zetu Zina Mapungufu Mengi Lakini Hiyo Sio Sababu za Kuacha Kudai Haki zetu” – JB

Siku chache baada ya mastaa wa Bongo movie kuandamana hadi Kariakoo wakitaka filamu za kigeni zizuiliwe nchini, kumeibuka hoja mbalimbali huku watu wengi wakioneshwa kutofurahia uamuzi huo.

Mastaa hao wa Bongo movie wakiongozwa na staa wa muda mrefu Jacob Stephen ‘JB’ wamedai kuwa kufanya hivyo ni kutokana na ukweli kwamba wanataka kuzipa nafasi zaidi filamu za Tanzania.

Kutokaka na kukosolewa kwa kitendo hicho na wadau mbalimbali nchini JB ametumia account yake ya Instagram kutoa ufafanuzi zaidi ambapo moja ya mambo aliyoyagusia ni kuwataka watu kutohusisha kila kitu na siasa akisema pia kuwa kwenye shida hatojali nani anamsaidia alimradi anagusa maslahi yake.
Bonyeza play kutazama hapa chini… 

from Blogger http://ift.tt/2pGfUSr
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2o7qO6u
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oTpm4J
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pGvqk5
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o83LZ4
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pHPfqX
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pIsx2b
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pIPP7Y
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2owhzrF
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pJHD7z
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oaneIL
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pXIduS
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oaVG5Q
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pKS4b2
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pL5zaD
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2otzHDs
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oxnJrs
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oZ0qJ3
via IFTTT


Kategori

Kategori