Showing posts with label April 07. Show all posts
Showing posts with label April 07. Show all posts
Wakenya Nao Wacharuka Kumuulizia Roma..Wadai Mbona Viongozi Wapo Kimya

Wakenya Nao Wacharuka Kumuulizia Roma..Wadai Mbona Viongozi Wapo Kimya

Mtangazaji wa Kenya Willy Tuva Amefunguka Haya:
@Regrann from @mzaziwillytuva – WHERE IS ROMA? VIONGOZI MBONA KIMYA?
East Africans love Tanzania’s Hip Hop star @roma2030. How can he and his friends disappear without a trace?
What crime did he commit? Alikamatwa na majambazi au polisi? Kama ni polisi, kosa lake ni gani? Kama ni majambazi hatua gani imechukuliwa kuwatafuta? Nauliza #WhereIsRoma
VIONGOZI NA VYOMBO HUSIKA TUSAIDIENI KUJUA!! Msinyamaze, kama ilivyokuwa kwa @naytrueboy na hii pia SAIDIENI

from Blogger http://ift.tt/2o9UBJX
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nKPRHd
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nS5Zb4
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nm8CWq
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oKoPVA
via IFTTT


Babu Tale Amshukia Paul Makonda..Adai yeye Ndo Mwenye Jukumu la Kujua Roma Yupo Wapi

Babu Tale Amshukia Paul Makonda..Adai yeye Ndo Mwenye Jukumu la Kujua Roma Yupo Wapi

Uoga ni uzembe me nazani mwenye jukumu la kujua Roma yupo wapi ni Mkuu wa koa sababu yeye ndio kiongozi wa kamati ya usalama ya mkoa sasa ikiwa tumezunguka vituo vyote vya polisi na mwenzetu atumuoni nani wa kumfuata kumwambia tunamtaka mwenzetu kama sio @paulmakonda me naanza hili bila uoga mkuu wa mkoa naomba utusaidie kutuambia mnzetu @roma2030 alipo. Tukutane Tongwe mida hii me nipo kwa foleni wakuu #uogauzembe#freeroma

from Blogger http://ift.tt/2nkOLql
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o9JlNV
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oMbdZr
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oRbxn6
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oRETlb
via IFTTT


Amber Lulu: Bila Pombe Kali Siimbi, Siuzi Nyago!!

Amber Lulu: Bila Pombe Kali Siimbi, Siuzi Nyago!!

VIDEO Queen ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva amefungukia kazi zake kuwa bila kutumia kinywaji cha pombe kali kabla ya kuimba ama kuuza nyago kwenye video hawezi kufanya vizuri kwani atashindwa kuchetuka.
Akibonga na Ijumaa juzikati, Amber anayetikisa na Wimbo wa Watakoma alisema, mara nyingi atumiapo pombe kali humpa stimu ya kufanya kazi vizuri na pia ipo kwenye ‘damu.’

“Sijajua kwa nini yaani lakini nikitumia pombe kali huwa zinanipa stimu kinoma ya kufanya kazi zangu na bila hizo siimbi wala kushiriki freshi kwenye uandaaji wa video,” alisema Amber.

from Blogger http://ift.tt/2nKQWyP
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nKPV9V
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nRZ9Ct
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nlXvN0
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oKwQtx
via IFTTT


Donald Trump Aanza Unyama..Aamuru Syria Ipigwe Makombora

Donald Trump Aanza Unyama..Aamuru Syria Ipigwe Makombora

Marekani imefanya shambulizi la makombora takriban 50 ,yalipigwa katika kambi ya jeshi la anga mjini Homs nchini Syria.
Awali maafisa wa Marekani walisema wana mpango wa kuchukua hatua za kijeshi baada ya Syria kushutumiwa kutumia silaha za kemikali katika mji unaodhibitiwa na waasi, ambapo watu kadhaa wamepoteza maisha.
Mashambulizi hayo yametekelezwa kutoka kwenye meli za kijeshi za Marekani katika bahari ya Mediterranea.
Rais wa Marekani Donald Trump amesema ameamuru kutekelezwa kwa mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Syria huku akitoa wito kwa mataifa yote yaliyostaarabika kukomesha vitendo vya mauaji na umwagaji damu nchini humo
Naye mshirika wa Syria Urusi ametahadharisha madhara yatokanayo na hatua zozote za kijeshi zinazochukuliwa na Marekani dhidi ya Syria.
Hata hivyo Rais Donald Trump amsema kuwa ,kutumia gesi hatari kuua raia wakiwemo watoto wengi, utawala wa Syria ulikuwa umevuka mipaka.
Mike Pregent ni mchambuzi wa masuala ya mashariki ya kati ameiambia BBC kuwa mashambulizi hayo yametoa ujumbe mzito kwa Assad.
Shambulio hilo linawapa Watu wa Syria matumain, na ninachomaanisha ni kuwa haya hakika haya ni Mashambulizi dhidi ya vikosi vya anga vya Assad, silaha za kemikali, pengine dhidi ya hifadhi za mafuta halikadhalika.hivyo haikuwa dhidi ya raia, haikuwaweka marubani wa kimarekani hatarini. Ulikuwa ujumbe maalum kwa Assad kuwa usitumie jeshi lako la anga kuwaadhibu raia, hivyo nafikiri ni ujumbe wenye nguvu

from Blogger http://ift.tt/2oIgX76
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o9Qb65
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oMh15d
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oQPsF3
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oRi5lv
via IFTTT


Simba Yahaha Kutafuta Point Tatu za Bureโ€ฆYamkatia Rufaa Mchezaji wa Kagera Sugar

Simba Yahaha Kutafuta Point Tatu za Bure…Yamkatia Rufaa Mchezaji wa Kagera Sugar

Uongozi wa mabingwa wa kihistoria Simba Sc imewasilisha rufaa Kwa Bodi ya ligi shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kudai pointi za mchezo dhidi ya Kagera Sugar uliochezwa Jumapili ya wiki iliyopita Kaitaba Bukoba na Simba kufungwa kwa magoli mawili kwa moja (2-1) na Kagera Sugar.
Katika Barua ya Simba imedai Kagera Sugar ilimtumia mchezaji Mohamed Fakhi mwenye kadi tatu za njano ambazo ni kukiuka kanuni na taratibu za ligi kuu ya Vodacom .
Kamati ya masaa 72 leo itakaa kupitia rufaa mbalimbali zilizowasilishwa kwenye kamati mojawapo ni hii rufaa ya Simba Kwa Kagera Sugar
Wakati haya yakifukuta uongozi wa Kagera Sugar umejitokeza na kukana rufaa hiyo, kocha wa Kagera sugar Mecky Maxime alisema: “Mimi niko makini sana na masuala ya kadi za wachezaji wangu, kila mchezaji wangu anapoonyeshwa kadi naandika na pia namkumbusha meneja wangu naye kuandika kadi, Simba kama wameshindwa kutafuta pointi uwanjani wasitafute sababu ya kupata pointi za mezani”
Pia Meneja wa kikosi hicho ambaye amesema Fakhi ana kadi mbili tu za njano na si tatu Kama wanavyosema

from Blogger http://ift.tt/2nROnfb
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nKRc0F
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nRR0hm
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nmgyGW
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oKmn19
via IFTTT


Kategori

Kategori