Showing posts with label April 16. Show all posts
Showing posts with label April 16. Show all posts
Askari Aliyeuawa Aacha Mke Anayetarajia Kujifungua..!!!

Askari Aliyeuawa Aacha Mke Anayetarajia Kujifungua..!!!

.Ayoub Mwaikambo, askari aliyeuawa katika shambulio dhidi ya gari la Jeshi la Polisi wilayani Kibiti, ameacha mke ambaye anatarajiwa kujifungua mwezi mmoja ujao.
Hayo yamebainika katika hafla ya kuaga miili ya askari nane waliouawa katika shambulio lililotokea Alhamisi jioni, huku kukiwa na taarifa nyingine ya kushambuliwa kwa mapanga kwa mtoto wa mwenyekiti wa Kijiji cha Kitembo wilayani Kibiti ambako mauaji dhidi ya viongozi na askari yanazidi kuongezeka.
Mtoto huyo, Saidi Abdallah alijeruhiwa kwa mapanga baada ya kukataa kuwatajia watu waliovamia nyumba yao usiku wa kuamkia jana, sehemu aliyojificha baba yake ambaye ni mwenyekiti wa kijiji hicho.
Jana, wakati wa hafla ya kuaga miili ya askari hao iliyofanyika Kurasini Barracks, Francisco Mwaikambo, ambaye ni kaka wa askari huyo, alisema amempoteza mtu ambaye alikuwa akijadiliana naye mambo ya familia.
“Ah! Ayoub amekufa wakati nilikuwa nimepata mtu mwingine wa kujadiliana naye mambo ya familia baada ya kukua na kufahamu umuhimu wa familia,” alisema Francisco huku midomo ikimcheza mithili ya mtu anayejizuia kulia. “Amemuacha mtoto wake tumboni.”

from Blogger http://ift.tt/2p7wH3J
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2plJ9MS
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nRrHja
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nSgejK
via IFTTT


Askari Aliyeuawa Aacha Mke Anayetarajia Kujifungua..!!!

Askari Aliyeuawa Aacha Mke Anayetarajia Kujifungua..!!!

.Ayoub Mwaikambo, askari aliyeuawa katika shambulio dhidi ya gari la Jeshi la Polisi wilayani Kibiti, ameacha mke ambaye anatarajiwa kujifungua mwezi mmoja ujao.
Hayo yamebainika katika hafla ya kuaga miili ya askari nane waliouawa katika shambulio lililotokea Alhamisi jioni, huku kukiwa na taarifa nyingine ya kushambuliwa kwa mapanga kwa mtoto wa mwenyekiti wa Kijiji cha Kitembo wilayani Kibiti ambako mauaji dhidi ya viongozi na askari yanazidi kuongezeka.
Mtoto huyo, Saidi Abdallah alijeruhiwa kwa mapanga baada ya kukataa kuwatajia watu waliovamia nyumba yao usiku wa kuamkia jana, sehemu aliyojificha baba yake ambaye ni mwenyekiti wa kijiji hicho.
Jana, wakati wa hafla ya kuaga miili ya askari hao iliyofanyika Kurasini Barracks, Francisco Mwaikambo, ambaye ni kaka wa askari huyo, alisema amempoteza mtu ambaye alikuwa akijadiliana naye mambo ya familia.
“Ah! Ayoub amekufa wakati nilikuwa nimepata mtu mwingine wa kujadiliana naye mambo ya familia baada ya kukua na kufahamu umuhimu wa familia,” alisema Francisco huku midomo ikimcheza mithili ya mtu anayejizuia kulia. “Amemuacha mtoto wake tumboni.”

from Blogger http://ift.tt/2p7wH3J
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pFw6lJ
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nSgdwc
via IFTTT


Askari Aliyeuawa Aacha Mke Anayetarajia Kujifungua..!!!

Askari Aliyeuawa Aacha Mke Anayetarajia Kujifungua..!!!

.Ayoub Mwaikambo, askari aliyeuawa katika shambulio dhidi ya gari la Jeshi la Polisi wilayani Kibiti, ameacha mke ambaye anatarajiwa kujifungua mwezi mmoja ujao.
Hayo yamebainika katika hafla ya kuaga miili ya askari nane waliouawa katika shambulio lililotokea Alhamisi jioni, huku kukiwa na taarifa nyingine ya kushambuliwa kwa mapanga kwa mtoto wa mwenyekiti wa Kijiji cha Kitembo wilayani Kibiti ambako mauaji dhidi ya viongozi na askari yanazidi kuongezeka.
Mtoto huyo, Saidi Abdallah alijeruhiwa kwa mapanga baada ya kukataa kuwatajia watu waliovamia nyumba yao usiku wa kuamkia jana, sehemu aliyojificha baba yake ambaye ni mwenyekiti wa kijiji hicho.
Jana, wakati wa hafla ya kuaga miili ya askari hao iliyofanyika Kurasini Barracks, Francisco Mwaikambo, ambaye ni kaka wa askari huyo, alisema amempoteza mtu ambaye alikuwa akijadiliana naye mambo ya familia.
“Ah! Ayoub amekufa wakati nilikuwa nimepata mtu mwingine wa kujadiliana naye mambo ya familia baada ya kukua na kufahamu umuhimu wa familia,” alisema Francisco huku midomo ikimcheza mithili ya mtu anayejizuia kulia. “Amemuacha mtoto wake tumboni.”

from Blogger http://ift.tt/2p7wH3J
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2plJ9MS
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nRzs8X
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pG6GVc
via IFTTT


TzTown Tv: SALAMU SA PASAKA KUTOKA KWAMBUNGE WENU KIPENZI

TAZAMA VIDEO HAPA CHINI KUONA SALAMU ZA SIKUKUU KUTOKA KWA MBENGE…………………

from Blogger http://ift.tt/2nPhvrA
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oibJdx
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pDTEr9
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nPQS5L
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pkQHiN
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nQNwzt
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pkIT0M
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2plb7Zf
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oMjAE0
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ppbHSE
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2plAdaj
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ofYSsV
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oMI3ZS
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nRt15T
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pGgAWL
via IFTTT


CCM Wamteua DR Gertrude Rwakatare Kuchukua Nafasi ya Sophia Simba Aliyefukuzwa

CCM Wamteua DR Gertrude Rwakatare Kuchukua Nafasi ya Sophia Simba Aliyefukuzwa

Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatare ameteuliwa kuwa Mbunge Viti Maalumu(CCM) kuchukua nafasi ya Sophia Simba aliyefukuzwa uanachama.
Ikumbukwe kuwa kwa mara ya kwanza Mchungaji Rwakatare alipata nafasi kama hii katika Bunge lililopita.
Uteuzi huu umekuja baada ya Spika wa Bunge kuiandikia barua ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) na kuiarifu juu ya uwepo wa nafasi ya Ubunge Maalum kwa upande wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) baada ya Sophia Simba kupoteza sifa za kuwa Mbunge baada ya kuvuliwa uanachama.

from Blogger http://ift.tt/2plPzc9
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2ohp3P2
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oKt56G
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pm95oO
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pmBuek
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oC0mjN
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oyj6iA
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oKQ4hK
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pjKl3b
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pju7r5
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oCt2JK
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nPUW6h
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pEAnGh
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pEGNW1
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pl6xdw
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ozRIAP
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oMgIam
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2plCsum
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2plpAEe
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2p7pZL3
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oMwPEy
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pFBBRC
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nSdcvT
via IFTTT


Kategori

Kategori