Showing posts with label April 19. Show all posts
Showing posts with label April 19. Show all posts
Aliyetoa Maoni “Acha Wafe” Kwenye Habari ya Kuuawa Askari 8 Atiwa Mbaroni Mbeya

Aliyetoa Maoni “Acha Wafe” Kwenye Habari ya Kuuawa Askari 8 Atiwa Mbaroni Mbeya

Aliyetoa maoni ktk Tweet ya Millard Ayo kwamba Askari 8 waliouwawa acha wafe, amekamatwa na Polisi Mbeya kwa kauli hiyo
Tuwe makini sana na Tunayoandika ama kukoment kwenye mitandao…..

from Blogger http://ift.tt/2oNXleT
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oNXAXl
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2on5wxP
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oOL4qx
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o4bc3v
via IFTTT


Noma Sanaaa..Mauaji Polisi Wanane Sasa Yaibukia Bungeni..!!!

Noma Sanaaa..Mauaji Polisi Wanane Sasa Yaibukia Bungeni..!!!

TUKIO la mauaji ya askari wanane lililotokea wiki iliyopita Kibiti, mkoani Pwani, limetinga Bungeni huku wabunge wakitaka bunge liahirishe shughuli zake kupisha jambo hilo kujadiliwa.
Wabunge jana walitaka muda wa kujadili mauaji hayo kutokana na matukio ya aina hiyo dhidi ya askari polisi kuuawa katika wilaya hiyo, kujirudia mara kwa mara.
Kutokana na hali hiyo, Spika wa Bunge, Job Ndugai, alisema Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ilikutana jana na mawaziri wenye dhamana ili kupata taarifa rasmi kuhusiana na matukio hayo.
Ndugai alitoa kauli hiyo wakati akijibu miongozo ya wabunge waliotaka bunge liahirishe shughuli zake ili kujadili suala hilo.
Alisema tayari kamati hiyo iko kazini na kupitia kikao hicho, serikali itaeleza namna ilivyojipanga kukabiliana na matukio mengine yanayoweza kujitokeza na kuhatarisha hali ya usalama wa polisi, raia na mali zao.
“Niungane na waheshimiwa wote mlioonyesha kuguswa sana na suala hili la askari wetu kiwango cha kufikia wanane wakati mmoja kuuawa. Kwa kweli ni jambo ambalo linasikitisha sana.
”Kwa hiyo kwa niaba ya Bunge zima hili ningependa kutoa pole na rambirambi kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini na kipekee kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kwa jambo hili kubwa ambalo limetushtua wote katika nchi yetu,” alisema.
Alibainisha kamati hiyo inakusudia kukutana na mawaziri husika na baada ya kamati kulifahamu vyema jambo hilo ndipo bunge litaweza kujadili baada ya kamati kulifahamu kwa undani wake.
Ndugai aliwaomba wabunge kuwa watulivu na kwamba amezungumza na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na kumhakikishia kuwa vyombo vyote vya ulinzi na usalama viko kazini si kwenye maeneo hayo tu bali nchi nzima.
Wabunge waliosimama kuomba mwongozo kwa Spika ni pamoja na wa Bukombe (CCM) Dotto Biteko, ambaye alitumia kanuni ya 69 kuomba kutoa hoja ya kuahirisha bunge ili kujadili suala hilo. Alisema Aprili 13, mwaka huu katika kijiji cha Makengeni wilayani humo waliuawa askari wanane na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi.
“Askari hawa walikufa wakiwa wanatekeleza majukumu ya kutulinda sisi raia na mali zetu. tukio hili si la kwanza kwa wilaya ya Kibiti. Liliwahi kutokea Februari 21, mwaka huu na watu watatu waliuawa akiwemo Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kibiti Peter Kubeza,” alisema.
“Kama askari hawako salama kwa kiwango hiki, raia wa kawaida hali yao ikoje? Jambo hili limetokea Kibiti lakini linaweza kutokea Kongwa, linaweza kutokea Bukombe na mahali kwingine kokote kama taifa halijachukua hatua madhubuti,” aliongeza na kusisitiza:
“Bunge lijadili ili kuondoa hofu wananchi maana kwa matukio haya yanayoendelea kutokea wana hofu kubwa juu ya usalama wao na maisha yao na mali zao juu ya matukio haya naomba tuahirishe bunge tujadili suala hili.”
Naye, Mbunge wa Mtambile (CUF), Masoud Abdalla Masoud, aliomba suala hilo lijadiliwe na kumwomba Spika atumie busara ili suala hilo lipate nafasi.
Mbunge wa Sikonge (CCM), Joseph Kakunda, na wa Viti Maalum (CCM), Amina Mollel, pia waliunga mkono mwongozo ulioombwa na Biteko.
Hata hivyo, Spika Ndugai alitoa nafasi kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba kuzungumzia suala hilo na kusema serikali inalichukulia tukio hilo kwa uzito mkubwa ili kuhakikisha wanarejesha hali ya usalama katika maeneo hayo.
Aliwatoa hofu wananchi na kusema kuwa tukio hilo limewapa chachu zaidi ya kupambana na uhalifu katika kuhakikisha wananchi wanakuwa katika mazingira salama wao na mali zao.
Tukio la kuuawa askari hao lilitokea Alhamisi iliyopita jioni wakati polisi hao wakitoka lindo wakienda kambini.
Waliouawa ni Mrakibu Msaidizi Peter Kigugu, Koplo Francis, Konstebo Jackson, Konstebo Zacharia, Konstebo Siwale, Konstebo Maswi na Konstebo Ayoub.

from Blogger http://ift.tt/2oO55xi
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oO9Wi9
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oVvlb7
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oLC0Eu
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2onqCMu
via IFTTT


Aliyetoa Maoni “Acha Wafe” Kwenye Habari ya Kuuawa Askari 8 Atiwa Mbaroni Mbeya

Aliyetoa Maoni “Acha Wafe” Kwenye Habari ya Kuuawa Askari 8 Atiwa Mbaroni Mbeya

Aliyetoa maoni ktk Tweet ya Millard Ayo kwamba Askari 8 waliouwawa acha wafe, amekamatwa na Polisi Mbeya kwa kauli hiyo
Tuwe makini sana na Tunayoandika ama kukoment kwenye mitandao…..

from Blogger http://ift.tt/2oNXleT
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oNXAXl
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2on5wxP
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o4hxMy
via IFTTT


Noma Sanaaa..Mauaji Polisi Wanane Sasa Yaibukia Bungeni..!!!

Noma Sanaaa..Mauaji Polisi Wanane Sasa Yaibukia Bungeni..!!!

TUKIO la mauaji ya askari wanane lililotokea wiki iliyopita Kibiti, mkoani Pwani, limetinga Bungeni huku wabunge wakitaka bunge liahirishe shughuli zake kupisha jambo hilo kujadiliwa.
Wabunge jana walitaka muda wa kujadili mauaji hayo kutokana na matukio ya aina hiyo dhidi ya askari polisi kuuawa katika wilaya hiyo, kujirudia mara kwa mara.
Kutokana na hali hiyo, Spika wa Bunge, Job Ndugai, alisema Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ilikutana jana na mawaziri wenye dhamana ili kupata taarifa rasmi kuhusiana na matukio hayo.
Ndugai alitoa kauli hiyo wakati akijibu miongozo ya wabunge waliotaka bunge liahirishe shughuli zake ili kujadili suala hilo.
Alisema tayari kamati hiyo iko kazini na kupitia kikao hicho, serikali itaeleza namna ilivyojipanga kukabiliana na matukio mengine yanayoweza kujitokeza na kuhatarisha hali ya usalama wa polisi, raia na mali zao.
“Niungane na waheshimiwa wote mlioonyesha kuguswa sana na suala hili la askari wetu kiwango cha kufikia wanane wakati mmoja kuuawa. Kwa kweli ni jambo ambalo linasikitisha sana.
”Kwa hiyo kwa niaba ya Bunge zima hili ningependa kutoa pole na rambirambi kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini na kipekee kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kwa jambo hili kubwa ambalo limetushtua wote katika nchi yetu,” alisema.
Alibainisha kamati hiyo inakusudia kukutana na mawaziri husika na baada ya kamati kulifahamu vyema jambo hilo ndipo bunge litaweza kujadili baada ya kamati kulifahamu kwa undani wake.
Ndugai aliwaomba wabunge kuwa watulivu na kwamba amezungumza na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na kumhakikishia kuwa vyombo vyote vya ulinzi na usalama viko kazini si kwenye maeneo hayo tu bali nchi nzima.
Wabunge waliosimama kuomba mwongozo kwa Spika ni pamoja na wa Bukombe (CCM) Dotto Biteko, ambaye alitumia kanuni ya 69 kuomba kutoa hoja ya kuahirisha bunge ili kujadili suala hilo. Alisema Aprili 13, mwaka huu katika kijiji cha Makengeni wilayani humo waliuawa askari wanane na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi.
“Askari hawa walikufa wakiwa wanatekeleza majukumu ya kutulinda sisi raia na mali zetu. tukio hili si la kwanza kwa wilaya ya Kibiti. Liliwahi kutokea Februari 21, mwaka huu na watu watatu waliuawa akiwemo Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kibiti Peter Kubeza,” alisema.
“Kama askari hawako salama kwa kiwango hiki, raia wa kawaida hali yao ikoje? Jambo hili limetokea Kibiti lakini linaweza kutokea Kongwa, linaweza kutokea Bukombe na mahali kwingine kokote kama taifa halijachukua hatua madhubuti,” aliongeza na kusisitiza:
“Bunge lijadili ili kuondoa hofu wananchi maana kwa matukio haya yanayoendelea kutokea wana hofu kubwa juu ya usalama wao na maisha yao na mali zao juu ya matukio haya naomba tuahirishe bunge tujadili suala hili.”
Naye, Mbunge wa Mtambile (CUF), Masoud Abdalla Masoud, aliomba suala hilo lijadiliwe na kumwomba Spika atumie busara ili suala hilo lipate nafasi.
Mbunge wa Sikonge (CCM), Joseph Kakunda, na wa Viti Maalum (CCM), Amina Mollel, pia waliunga mkono mwongozo ulioombwa na Biteko.
Hata hivyo, Spika Ndugai alitoa nafasi kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba kuzungumzia suala hilo na kusema serikali inalichukulia tukio hilo kwa uzito mkubwa ili kuhakikisha wanarejesha hali ya usalama katika maeneo hayo.
Aliwatoa hofu wananchi na kusema kuwa tukio hilo limewapa chachu zaidi ya kupambana na uhalifu katika kuhakikisha wananchi wanakuwa katika mazingira salama wao na mali zao.
Tukio la kuuawa askari hao lilitokea Alhamisi iliyopita jioni wakati polisi hao wakitoka lindo wakienda kambini.
Waliouawa ni Mrakibu Msaidizi Peter Kigugu, Koplo Francis, Konstebo Jackson, Konstebo Zacharia, Konstebo Siwale, Konstebo Maswi na Konstebo Ayoub.

from Blogger http://ift.tt/2oO55xi
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oO9Wi9
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oVvlb7
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2onyNZ8
via IFTTT


Ajali:Daladala Yagonga Treni Leo Alfajiri Dar es Salaam na Kusababisha Maafa

Ajali:Daladala Yagonga Treni Leo Alfajiri Dar es Salaam na Kusababisha Maafa

Mtu mmoja amefariki dunia baada ya kutokea ajali ya basi la abiria/daladala (T 435 DGG) kutoka Gongo la Mboto kwenda Mnazi Mmoja kuigonga treni ya Pugu leo Aprili 19, 2017 saa 11 alfajiri katika makutano ya reli na barabara ya Nkurumah jijini Dar es Salaam.
Majeruhi wa ajali ni 23 , wanane wapo hospitali ya Amana na waliobakia 15 wapo Hospitali ya Taifa Muhimbili MOI watatu kati yao ni mahututi. Taarifa zaidi itatolewa kuhusu ajali hiyo.
Hata hivyo treni ya Pugu inaendelea na huduma zake kwa kufuata ratiba.
Imetolewa na Afisi ya Uhusiano kwa niaba ya Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TRL
Nd. Focus Sahani,
Dar es Salaam,
Aprili 19, 2017.

from Blogger http://ift.tt/2on0otm
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pBKqgc
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2onmk7L
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o4bck1
via IFTTT


Machinga Waandamana Kariakoo Kumpinga Makonda Uuzaji wa CD za Nje

Katazo la mkuu wa mkoa wa Dar kupiga marufuku CD za movie kutoka nje ya nchi ili kuinua sokolafilamu nchini limepingwa vikali na machinga wa Kariakoo wakidai kuwa biashara yao ya kuwaingizia kipato imeathiriwa na katazo hilo

from Blogger http://ift.tt/2oVbFED
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pBO35v
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oVexB8
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2onEMgo
via IFTTT


Wafanyakazi wa Manji Wakimbia Jela…!!!

Wafanyakazi wa Manji Wakimbia Jela…!!!

WAFANYAKAZI 16 wa kampuni ya Quality Group Ltd, wamehukumiwa kulipa faini ya Sh. 500,000 au kwenda jela miaka mitatu baada ya kukiri makosa ya kufanya kazi nchini bila kibali. Jumla ya faini yote ni Sh. milioni 22.
Hukumu hiyo ilitolewa jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, baada ya washtakiwa kukiri mashtaka yanayowakabili. Quality Group Ltd ni kampuni ya mfanyabiashara Yusuph Manji.
Akisoma hukumu hiyo, Hakimu Mkazi Mkuu Mfawidhi Cyprian Mkeha, alisema mshtakiwa wa kwanza hadi 14 wanakabiliwa na mashtaka matatu hivyo katika kila kosa kila mmoja atatoa faini ya Sh. milioni 1.5.
Pia alisema kama watashindwa kulipa faini hiyo, kila mshtakiwa atatumikia kifungo cha miaka mitatu jela katika kila kosa, hivyo watatumikia kifungo cha miaka tisa jela.
Kwa upande wa washtakiwa namba 15 na 16, Meneja mradi Jose Kiran na katibu wake, Prakash Bhatt, wanaokabiliwa na tuhuma za kukiuka amri ya ofisa uhamiaji na kujaribu kutoroka, wamehukumiwa kulipa faini ya Sh. 500,000 au kwenda jela miaka mitatu. Wamekwepa kifungo kwa kulipa faini.
Jose na Prakash wanadaiwa kuwa Februari 20, 2017, wakiwa raia wa India na waajiriwa wa Quality Group Ltd, walimzuia ofisa wa Uhamiaji kufanya kazi zake na kwamba walikataa kuripoti katika ofisi za Uhamiaji zilizoko jijini Dar es Salaam kwa kujaribu kutoroka Tanzania kupitia mpaka wa Horohoro, Tanga.
Washtakiwa 14 waliobaki ni mshauri Jagadish Mamidu (29), mshauri Niladri Maiti (41), mshauri Divakar Rajasekaran (37), Mhasibu Mohammad Taher Shaikh(44), mshauri Bijenda Kumar (43) na mshauri Prasoon Kumar Mallik(46).
Wengine ni mshauri Nipun Dinbadhu Bhatt (32), Meneja Msaidizi Pintu Kumar (28), mshauri Anuj Agarwal (46), mshauri Varun Boloor (34), mshauri Arun Kumar
Kateel (46), mshauri Avinash Chandratiwari (33) na mshauri Vikram Sankhala (50). Nao walilipa faini na kukwepa vifungo hivyo.
Mahakama imesema ili waweze kuendelea kuishi nchini ni lazima wafuate sheria.
Wakili wa washtakiwa hao, Hudson Ndusyepo kabla ya hukumu kutolewa aliiambia mahakama mshtakiwa namba moja hadi 14 hawakuwa na nia mbaya ya kutenda makosa hayo.
Alidai kuwa walikutana na Afisa wa Uhamiaji wakamwambia wanahitaji kuongeza muda wa viza za kufanya kazi na wakamkabidhi hati zao za kusafiria na baadae aliwarejeshea zikiwa na visa ndani.
Aliendelea kudai kuwa wao waliamini viza hizo zilipatikana kwa halali na malipo yalifanyika na fedha kuingia Serikalini kupitia mpaka wa Tunduma, na kwamba risiti walipata.
Aliendelea kudai kuwa baada ya kukamatwa iligundulika viza hizo zilipatikana kinyume cha sheria.
Alieleza hilo ni kosa lao la kwanza na akaomba mahakama iwasamehe, wapewe adhabu ndogo na nafasi nyingine ya kuwepo nchini na kwamba watafuata taratibu za nchi hii.
Kwa upande wa Mwendesha Mashtaka wa Idara ya Uhamiaji, Method Kagoma yeye alidai kuwa washtakiwa hao waliingia nchini mwishoni mwa mwaka jana na wakapewa viza za miezi mitatu za kufanya kazi.
Alidai kuwa baada ya vibali hivyo kwisha walifanya wanavyojua, ikiwamo kutoa maelezo ya uongo na kufanikiwa kujipatia viza hizo.
Kwa pamoja walidaiwa kuwa Februari 13 katika Kampuni ya Quality Group Ltd iliyopo wilaya ya Ilala, wakiwa raia wa India walikamatwa wakiwa na viza za kibiashara zilizoghushiwa.
Wanadaiwa kuwa Februari 13 katika kampuni hiyo ya Quality Group Ltd washtakiwa hao wakiwa raia wa India walikamatwa wakiishi nchini kinyume cha sheria.
Iliendelea kudaiwa kuwa Februari 13 washtakiwa hao wakiwa raia wa India walikamatwa wakifanya kazi katika kampuni ya Quality Group Ltd kama washauri bila ya kuwa na kibali kinachowaruhusu kufanya hivyo.
Washtakiwa waliachiwa baada ya kulipa faini zao.

from Blogger http://ift.tt/2pBezie
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oO4oE9
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oncqD9
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o4fIiJ
via IFTTT


Kategori

Kategori