Showing posts with label 2017 at 05:03PM. Show all posts
Showing posts with label 2017 at 05:03PM. Show all posts
MGANGA WA JADI AUAWA NAMTEJA WAKE BAADA YA KUSHINDWA KIMTIBU!

MGANGA WA JADI AUAWA NAMTEJA WAKE BAADA YA KUSHINDWA KIMTIBU!

Mganga wa jadi, Revocatus Kanjalanga (65) katika Wilaya ya Nkasi mkoani Ruvuma ameuawa kikatili kwa kuchomwa na mkuki mgongoni na mtu asiyefahamika ambaye anadaiwa kuwa ni mteja wake wa muda mrefu.
Ilielezwa kuwa wateja wa mganga huyo walikuwa wakimlalamika kuwa kwa kipindi kirefu mganga huyo amekuwa akiwatibu kwa kuwatoza fedha nyingi za malipo ya matibabu lakini wamekuwa hawaponi kupitia uganga wake.
Mtoto wa mganga huyo aliwaambia waandishi kuwa baba yake aliuawa juzi saa 1:30 asubuhi kwa kupigwa mkuki mgongoni akiwa anatembea mitaani katika kitongoji cha Chawe kilichopo katika Mji wa Namanyere wilayani Nkasi.
Alisema kuwa kwa muda mrefu watu ambao walikuwa wanatibiwa na baba yake walikuwa wakilalamika kutozwa fedha nyingi pamoja na mifugo lakini hawaponi, hali iliyosababisha kuanza kumuona kama tapeli.
Alisema watu hao walikuwa wanalalamikia kutofanikiwa matatizo yao ya kiafya, kutafuta mali pamoja na mazindiko.
“Pengine malalamiko hayo ndiyo yaliyosababisha mtuhumiwa aamue kumuua kwa kumchoma mkuki mgongoni, na aliyefanya hilo hajapatikana na mpaka sasa anatafutwa,” alisema.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, George Kyando alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba mtuhumiwa anasakwa.

from Blogger http://ift.tt/2uFWwri
via IFTTT


Wakenya Nao Wacharuka Kumuulizia Roma..Wadai Mbona Viongozi Wapo Kimya

Wakenya Nao Wacharuka Kumuulizia Roma..Wadai Mbona Viongozi Wapo Kimya

Mtangazaji wa Kenya Willy Tuva Amefunguka Haya:
@Regrann from @mzaziwillytuva – WHERE IS ROMA? VIONGOZI MBONA KIMYA?
East Africans love Tanzania’s Hip Hop star @roma2030. How can he and his friends disappear without a trace?
What crime did he commit? Alikamatwa na majambazi au polisi? Kama ni polisi, kosa lake ni gani? Kama ni majambazi hatua gani imechukuliwa kuwatafuta? Nauliza #WhereIsRoma
VIONGOZI NA VYOMBO HUSIKA TUSAIDIENI KUJUA!! Msinyamaze, kama ilivyokuwa kwa @naytrueboy na hii pia SAIDIENI

from Blogger http://ift.tt/2o9UBJX
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nKPRHd
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nS5Zb4
via IFTTT


Babu Tale Amshukia Paul Makonda..Adai yeye Ndo Mwenye Jukumu la Kujua Roma Yupo Wapi

Babu Tale Amshukia Paul Makonda..Adai yeye Ndo Mwenye Jukumu la Kujua Roma Yupo Wapi

Uoga ni uzembe me nazani mwenye jukumu la kujua Roma yupo wapi ni Mkuu wa koa sababu yeye ndio kiongozi wa kamati ya usalama ya mkoa sasa ikiwa tumezunguka vituo vyote vya polisi na mwenzetu atumuoni nani wa kumfuata kumwambia tunamtaka mwenzetu kama sio @paulmakonda me naanza hili bila uoga mkuu wa mkoa naomba utusaidie kutuambia mnzetu @roma2030 alipo. Tukutane Tongwe mida hii me nipo kwa foleni wakuu #uogauzembe#freeroma

from Blogger http://ift.tt/2nkOLql
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o9JlNV
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oMbdZr
via IFTTT


Amber Lulu: Bila Pombe Kali Siimbi, Siuzi Nyago!!

Amber Lulu: Bila Pombe Kali Siimbi, Siuzi Nyago!!

VIDEO Queen ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva amefungukia kazi zake kuwa bila kutumia kinywaji cha pombe kali kabla ya kuimba ama kuuza nyago kwenye video hawezi kufanya vizuri kwani atashindwa kuchetuka.
Akibonga na Ijumaa juzikati, Amber anayetikisa na Wimbo wa Watakoma alisema, mara nyingi atumiapo pombe kali humpa stimu ya kufanya kazi vizuri na pia ipo kwenye ‘damu.’

“Sijajua kwa nini yaani lakini nikitumia pombe kali huwa zinanipa stimu kinoma ya kufanya kazi zangu na bila hizo siimbi wala kushiriki freshi kwenye uandaaji wa video,” alisema Amber.

from Blogger http://ift.tt/2nKQWyP
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nKPV9V
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nRZ9Ct
via IFTTT


Donald Trump Aanza Unyama..Aamuru Syria Ipigwe Makombora

Donald Trump Aanza Unyama..Aamuru Syria Ipigwe Makombora

Marekani imefanya shambulizi la makombora takriban 50 ,yalipigwa katika kambi ya jeshi la anga mjini Homs nchini Syria.
Awali maafisa wa Marekani walisema wana mpango wa kuchukua hatua za kijeshi baada ya Syria kushutumiwa kutumia silaha za kemikali katika mji unaodhibitiwa na waasi, ambapo watu kadhaa wamepoteza maisha.
Mashambulizi hayo yametekelezwa kutoka kwenye meli za kijeshi za Marekani katika bahari ya Mediterranea.
Rais wa Marekani Donald Trump amesema ameamuru kutekelezwa kwa mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Syria huku akitoa wito kwa mataifa yote yaliyostaarabika kukomesha vitendo vya mauaji na umwagaji damu nchini humo
Naye mshirika wa Syria Urusi ametahadharisha madhara yatokanayo na hatua zozote za kijeshi zinazochukuliwa na Marekani dhidi ya Syria.
Hata hivyo Rais Donald Trump amsema kuwa ,kutumia gesi hatari kuua raia wakiwemo watoto wengi, utawala wa Syria ulikuwa umevuka mipaka.
Mike Pregent ni mchambuzi wa masuala ya mashariki ya kati ameiambia BBC kuwa mashambulizi hayo yametoa ujumbe mzito kwa Assad.
Shambulio hilo linawapa Watu wa Syria matumain, na ninachomaanisha ni kuwa haya hakika haya ni Mashambulizi dhidi ya vikosi vya anga vya Assad, silaha za kemikali, pengine dhidi ya hifadhi za mafuta halikadhalika.hivyo haikuwa dhidi ya raia, haikuwaweka marubani wa kimarekani hatarini. Ulikuwa ujumbe maalum kwa Assad kuwa usitumie jeshi lako la anga kuwaadhibu raia, hivyo nafikiri ni ujumbe wenye nguvu

from Blogger http://ift.tt/2oIgX76
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o9Qb65
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oMh15d
via IFTTT


Simba Yahaha Kutafuta Point Tatu za Bureโ€ฆYamkatia Rufaa Mchezaji wa Kagera Sugar

Simba Yahaha Kutafuta Point Tatu za Bure…Yamkatia Rufaa Mchezaji wa Kagera Sugar

Uongozi wa mabingwa wa kihistoria Simba Sc imewasilisha rufaa Kwa Bodi ya ligi shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kudai pointi za mchezo dhidi ya Kagera Sugar uliochezwa Jumapili ya wiki iliyopita Kaitaba Bukoba na Simba kufungwa kwa magoli mawili kwa moja (2-1) na Kagera Sugar.
Katika Barua ya Simba imedai Kagera Sugar ilimtumia mchezaji Mohamed Fakhi mwenye kadi tatu za njano ambazo ni kukiuka kanuni na taratibu za ligi kuu ya Vodacom .
Kamati ya masaa 72 leo itakaa kupitia rufaa mbalimbali zilizowasilishwa kwenye kamati mojawapo ni hii rufaa ya Simba Kwa Kagera Sugar
Wakati haya yakifukuta uongozi wa Kagera Sugar umejitokeza na kukana rufaa hiyo, kocha wa Kagera sugar Mecky Maxime alisema: “Mimi niko makini sana na masuala ya kadi za wachezaji wangu, kila mchezaji wangu anapoonyeshwa kadi naandika na pia namkumbusha meneja wangu naye kuandika kadi, Simba kama wameshindwa kutafuta pointi uwanjani wasitafute sababu ya kupata pointi za mezani”
Pia Meneja wa kikosi hicho ambaye amesema Fakhi ana kadi mbili tu za njano na si tatu Kama wanavyosema

from Blogger http://ift.tt/2nROnfb
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nKRc0F
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nRR0hm
via IFTTT


Faru Fausta Atikisa Bungeโ€ฆYabainika Gharama za Kumtunza ni Mil 64 Kwa Mwezi

Faru Fausta Atikisa Bunge…Yabainika Gharama za Kumtunza ni Mil 64 Kwa Mwezi

WAKATI kishindo cha faru dume aitwaye John kikitulia baada ya kubainika kuwa alifariki na serikali kuchukua hatua kadhaa kuhusiana na chanzo cha kifo chake, faru mwingine jike aitwaye Fausta alitwaa nafasi ya mjadala bungeni mjini Dodoma jana kuhusiana na gharama za kumtunza kwa mwezi.
Kwa mujibu wa kile kilichoelezwa kuhusiana na faru huyo ambaye pia yupo katika Hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha kama ilivyokuwa kwa faru John, ni kwamba gharama za kumtunza kwa mwezi ni Sh. milioni 64 na hivyo kushtua baadhi ya wabunge kiasi cha kuibua maswali.
Kwa mujibu wa chanzo cha Nipashe, mshahara wa mbunge mmoja kwa mwezi kabla ya makato ni takribani Sh. milioni 3.6, hivyo gharama hizo za kumtunza Faru Fausta ni sawa na wastani wa mishahara ya wabunge 17 kabla ya makato.
Aliyeibua suala hilo la Faru Fausta ni Mbunge wa Babati Mjini(Chadema),Pauline Gekul, ambaye alidai kushtushwa na kitendo cha Hifadhi ya Ngorongoro kutumia kiasi cha Sh. Milioni 64 kwa mwezi sawa na Sh.Milioni 768 kwa mwaka kumlisha na kumtunza faru huyo.
Akiuliza swali la nyongeza kwa Waziri wa Maliasili na Utalii bungeni jana, Gekul alisema faru huyo amekuwa akigharimiwa fedha nyingi na kuhoji serikali ina mpango gani kuhusiana naye.
Akijibu swali hilo, Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe, alikiri faru huyo kutunzwa kwa gharama kubwa kwa ajili ya kumlisha kwa sababu ni mzee.
Alisema mbali na hilo, mnyama huyo pia huandamwa na magonjwa mbalimbali na ndiyo maana ana gharimiwa kwa fedha zinazoonekana kuwa ni gharama kubwa.
Aidha, Prof. Maghembe alisema wanafanya hivyo pia kwa sababu wanyama wa aina hiyo ni wachache katika hifadhi nchini.
“Hivi sasa utafiti unafanyika kwa kumtumia faru Fausta juu ya namna ya kuishi na wanyama wa aina hiyo ili waweze kuishi maisha marefu… ni kweli kufanya hivi ni gharama kubwa lakini takwimu zinazopatikana zina thamani halisi,”alisema.
Pamoja na majibu hayo, Waziri Maghembe aliendelea kubanwa kuhusiana na gharama za faru huyo. Mbunge wa Tunduma (Chadema), Frank Mwakajoka, aliomba mwongozo baada ya kipindi cha maswali na majibu kuhusu majibu ya waziri huyo juu ya faru Fausta kutunzwa kwa fedha hizo huku ikielezwa kuwa ni mzee ilhali ikifahamika kuwa kwa hali yake, kamwe mnyama huyo hawezi kuingiza faida yoyote.
Akijibu muongozo huo, Spika wa Bunge, Job Ndugai, alisema katika hifadhi hiyo yupo pia Faru Ndugai na kumwambia waziri kwa kutania kuwa siku faru huyo (Ndugai) akitoweka patachimbika bungeni.
Hata hivyo, kuhusiana na swali kuhusu faru Fausta, Ndugai alisema suala hilo analiachia wizara ili wakalifanyie kazi.
TAARIFA ZAIDI KUHUSU FARU FAUSTA
Kwa mujibu wa Mhifadhi Mkuu wa Ngorongoro, Dk Freddy Manongi, ambaye alizungumza na Nipashe hivi karibuni, ni kwamba faru Fausta ni mzee mwenye miaka 54 na kwamba, alipokuwa porini alikuwa akishambuliwa na fisi na kupata vidonda vingi.
Alisema baada ya kumwona fausta akiwa katika hali mbaya kiafya na pia kuwa katika hatari kubwa ya kuuawa na fisi kutokana na uzee wake, askari wa uhifadhi walimchukua na kumtengea eneo maalum huku wakilazimika kimnunulia chakula kama miwa kutoka wilayani Babati na pia kumpatia huduma nyingine muhimu.
Alisema kutokana na jitihada zinazofanyika katika kumtunza, hivi sasa vidonda aliyokuwa navyo vimepona na anaendelea vizuri.
Hata hivyo, taarifa nyingine kutoka kwenye hifadhi hiyo jana zilidai kuwa kutokana na umri wake mkubwa, faru huyo hivi sasa ana tatizo la kutoona na jambo hilo linamuweka katika wakati mgumu kimaisha ikiwa ataachiwa aishi porini bila ya uangalizi maalumu.
*Taarifa ya ziada na John Ngunge (Arusha) na Salome Kitomari (Dar)

from Blogger http://ift.tt/2p8WSTt
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o9GO6d
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oMhGUt
via IFTTT


Faru Fausta Atikisa Bungeโ€ฆYabainika Gharama za Kumtunza ni Mil 64 Kwa Mwezi

Faru Fausta Atikisa Bunge…Yabainika Gharama za Kumtunza ni Mil 64 Kwa Mwezi

WAKATI kishindo cha faru dume aitwaye John kikitulia baada ya kubainika kuwa alifariki na serikali kuchukua hatua kadhaa kuhusiana na chanzo cha kifo chake, faru mwingine jike aitwaye Fausta alitwaa nafasi ya mjadala bungeni mjini Dodoma jana kuhusiana na gharama za kumtunza kwa mwezi.
Kwa mujibu wa kile kilichoelezwa kuhusiana na faru huyo ambaye pia yupo katika Hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha kama ilivyokuwa kwa faru John, ni kwamba gharama za kumtunza kwa mwezi ni Sh. milioni 64 na hivyo kushtua baadhi ya wabunge kiasi cha kuibua maswali.
Kwa mujibu wa chanzo cha Nipashe, mshahara wa mbunge mmoja kwa mwezi kabla ya makato ni takribani Sh. milioni 3.6, hivyo gharama hizo za kumtunza Faru Fausta ni sawa na wastani wa mishahara ya wabunge 17 kabla ya makato.
Aliyeibua suala hilo la Faru Fausta ni Mbunge wa Babati Mjini(Chadema),Pauline Gekul, ambaye alidai kushtushwa na kitendo cha Hifadhi ya Ngorongoro kutumia kiasi cha Sh. Milioni 64 kwa mwezi sawa na Sh.Milioni 768 kwa mwaka kumlisha na kumtunza faru huyo.
Akiuliza swali la nyongeza kwa Waziri wa Maliasili na Utalii bungeni jana, Gekul alisema faru huyo amekuwa akigharimiwa fedha nyingi na kuhoji serikali ina mpango gani kuhusiana naye.
Akijibu swali hilo, Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe, alikiri faru huyo kutunzwa kwa gharama kubwa kwa ajili ya kumlisha kwa sababu ni mzee.
Alisema mbali na hilo, mnyama huyo pia huandamwa na magonjwa mbalimbali na ndiyo maana ana gharimiwa kwa fedha zinazoonekana kuwa ni gharama kubwa.
Aidha, Prof. Maghembe alisema wanafanya hivyo pia kwa sababu wanyama wa aina hiyo ni wachache katika hifadhi nchini.
“Hivi sasa utafiti unafanyika kwa kumtumia faru Fausta juu ya namna ya kuishi na wanyama wa aina hiyo ili waweze kuishi maisha marefu… ni kweli kufanya hivi ni gharama kubwa lakini takwimu zinazopatikana zina thamani halisi,”alisema.
Pamoja na majibu hayo, Waziri Maghembe aliendelea kubanwa kuhusiana na gharama za faru huyo. Mbunge wa Tunduma (Chadema), Frank Mwakajoka, aliomba mwongozo baada ya kipindi cha maswali na majibu kuhusu majibu ya waziri huyo juu ya faru Fausta kutunzwa kwa fedha hizo huku ikielezwa kuwa ni mzee ilhali ikifahamika kuwa kwa hali yake, kamwe mnyama huyo hawezi kuingiza faida yoyote.
Akijibu muongozo huo, Spika wa Bunge, Job Ndugai, alisema katika hifadhi hiyo yupo pia Faru Ndugai na kumwambia waziri kwa kutania kuwa siku faru huyo (Ndugai) akitoweka patachimbika bungeni.
Hata hivyo, kuhusiana na swali kuhusu faru Fausta, Ndugai alisema suala hilo analiachia wizara ili wakalifanyie kazi.
TAARIFA ZAIDI KUHUSU FARU FAUSTA
Kwa mujibu wa Mhifadhi Mkuu wa Ngorongoro, Dk Freddy Manongi, ambaye alizungumza na Nipashe hivi karibuni, ni kwamba faru Fausta ni mzee mwenye miaka 54 na kwamba, alipokuwa porini alikuwa akishambuliwa na fisi na kupata vidonda vingi.
Alisema baada ya kumwona fausta akiwa katika hali mbaya kiafya na pia kuwa katika hatari kubwa ya kuuawa na fisi kutokana na uzee wake, askari wa uhifadhi walimchukua na kumtengea eneo maalum huku wakilazimika kimnunulia chakula kama miwa kutoka wilayani Babati na pia kumpatia huduma nyingine muhimu.
Alisema kutokana na jitihada zinazofanyika katika kumtunza, hivi sasa vidonda aliyokuwa navyo vimepona na anaendelea vizuri.
Hata hivyo, taarifa nyingine kutoka kwenye hifadhi hiyo jana zilidai kuwa kutokana na umri wake mkubwa, faru huyo hivi sasa ana tatizo la kutoona na jambo hilo linamuweka katika wakati mgumu kimaisha ikiwa ataachiwa aishi porini bila ya uangalizi maalumu.
*Taarifa ya ziada na John Ngunge (Arusha) na Salome Kitomari (Dar)

from Blogger http://ift.tt/2o4Wwy1
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nKRDbw
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nSfbfv
via IFTTT


Kategori

Kategori