Showing posts with label 2017 at 06:07PM. Show all posts
Showing posts with label 2017 at 06:07PM. Show all posts
Hii ni 10 bora ya wachezaji wenye thamani duniani, Ronaldo hayumo.

Hii ni 10 bora ya wachezaji wenye thamani duniani, Ronaldo hayumo.

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Brazil na klabu ya Barcelona Neymar anaweza kuwa hayuko katika kiwango sawa na Lioneil Messi au Cristiano Ronaldo lakini nyota huyo wa Kibrazil ameendelea kukaa kileleni kwa wachezaji wenye thamani zaidi duniani.
Utafiti mpya uliuofanywa na shirika la CIES Football Obersavation unaonesha kwamba mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 25 ana thamani ya euro 185m takwimu ambazo huangaliwa kutokana na umri wa mchezaji,kiwango chake,mkataba alionao,mvuto kwa vilabu na nafasi yake kimauzo.
Lakini katika orodha hiyo kungo wa klabu ya Tottenham Delle Ali yupo katika nafasi ya pili ambapo thamani ya Delle ni euro 136m, thamani ya Delle imeongezeka sana kutokana na kiwango anachokionesha haswa msimu uliopita akiwa na Tottenham Hotspur.
Chini ya Delle Ali yupo mchezaji mwingine wa Tottenham Hotspur ambaye pia ni mfungaji bora wa ligi kuu Uingereza Harry Kane ambaye thamani yake ni euro 135m huku Lioneil Messi akiwa nafasi ya nne na thamani ya euro 134m.
Nyota wa Atletico Madrid Antoine Griezman yuko nafasi ya tano akiwa na thamani ya euro 132m akifuatiwa na mshambuliaji wa klabu ya Barcelona Kuis Suarez ambaye ana thamani ya euro 124m.
Katika nafasi ya saba yupo kiungo wa klabu ya Manchester United anayeshikilia rekodi ya usajili ya dunia ambaye thamani yake ni euro 118m akifuatiwa na Gonzalo Higuain nafasi ya nane akiwa na thamani ya euro 106m.
Mshambuliaji hatari na mchezaji bora wa klabu ya Chelsea Eden Hazard mwenye thamani ya euro 104m akishika nafasi ya tisa na Paulo Dyabala anamaliza katika nafasi ya kumi ambapo thamani ya Dyabala ni euro 102m.
Gumzo kubwa limekuwa kwa Cristiano Ronaldo ambaye hayupo katika orodha ya 10 bora na jina lake linatokea nafasi ya 11 akiwa na thamani ya euro 99m huku mshambuliaji anayetaka kujiunga na Chelsea Romelu Lukaku akiwa na thamani ya euro 93m.

from Blogger http://ift.tt/2s307i6
via IFTTT


Perez – Zidane Anaweza Kuifundisha Madrid Hadi Mwisho wa Maisha Yake..!!!

Perez – Zidane Anaweza Kuifundisha Madrid Hadi Mwisho wa Maisha Yake..!!!

Kocha Zinedine Zidane huwenda akaifundisha klabu ya Real Madrid maisha yake yote kwa mujibu wa rais wa klabu hio, Florentino Perez ikiwa ni siku chache baada ya kocha huyo Mfaransa kuchukua kombe la Champions League kwa miaka miwili mfululizo, baada ya ushindi wa bao 4-1 dhidi ya Juventus.
Meneja huyo ambaye pia alikuwa na mafanikio makubwa katika kucheza soka duniani, alikuwa akibezwa hukusu uwezo wake wa kufundisha soka.
Ubingwa huo umeweza kuifanya klabu hiyo kuvunja rekodi ya kutwaa taji hilo mara mbili mfululizo pamoja na kuwa klabu iliyochukua kombe hilo mara 12.
Rais wa klabu ya Real Madrid ameiambia radio ya Spanish Cadena Ser “Zidane can stay at Real Madrid for the rest of his life. Every Real Madrid fan is so grateful to him, he lifted our level of talent when he arrived in 2001 and was the best player in the world,”
Kwa upande wa Zidane baada ya mafanikio hayo alisema, “I can’t say whether I’ll stay for the rest of my life but I’m so grateful for the club for everything it has given me,”
“I played here for a long time and I feel part of the furniture. I’m also lucky to be part of this club and with this squad. Every player in the squad has played their part, and that’s been the key factor this season.” Zidane aliviambia vyombo vya habari.

from Blogger http://ift.tt/2sJ6QNh
via IFTTT


Agness Masogange Mahakamani Tena Leo

Agness Masogange Mahakamani Tena Leo

Msanii Agnes Waya, maarufu Masogange anatarajiwa kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo wakati kesi yake ya tuhuma za kutumia dawa za kulevya inapokuja kwa kutajwa na kuangalia kama upelelezi umekamilika au la.
Masogange anatarajiwa kufikishwa mbele ya Hakimu Mkazi, Wilbard Mashauri wa mahakama hiyo, ambaye ndiye anasikiliza kesi hiyo.
Mara ya mwisho kesi hiyo ilipotajwa mahakamani hapo hakimu huyo alimpa onyo mshtakiwa huyo baada ya kuchelewa kufika katika chumba cha mahakama, hatua iliyofikiwa baada ya Wakili wa Masogange, Nictogen Itege kuieleza mahakama kuwa mteja wake yuko njiani anakuja.
Taarifa hiyo ilisababisha, Hakimu Mashauri kumuhoji kuwa mbona yeye yupo mahakamani? Akadai kuwa walipita njia tofauti ndiyo sababu ikatokea kuwa mmoja kafika mwingine bado.
Hakimu Mashauri alisema mteja wake anatakiwa afuate masharti ya dhamana na mamlaka. Hata hivyo, baada ya muda kidogo Masogange alionekana katika viwanja vya Mahakama wakati kesi yake tayari ilikuwa imeahirishwa.
Awali, akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali Constantine Kakula alidai kuwa kati ya Februari 7 na 14, 2017 katika maeneo yasiyojulikana ndani ya Jiji la Dar es Salaam Masogange alitumia dawa za kulevya aina ya Heroin (Diacety Imophine).
Katika shtaka la pili, Kakula alidai kuwa kati ya Februari 7 na 14, 2017 mtuhumiwa huyo alitumia dawa za kulevya aina ya Oxazepam na kwamba alifanya makosa hayo chini ya kifungu cha 18 (a) cha Sharia ya Kupambana na Dawa za Kulevya namba 5 ya mwaka 2015.
Baada ya kusomewa mashtaka hayo, Masogange alikana na yuko nje kwa dhamana ya wadhamini wawili waliosaini bondi ya Sh. milioni 10.

from Blogger http://ift.tt/2pGcZvI
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oTkpJ2
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pGDSzt
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oTStoH
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oUCUgu
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2orvAaR
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oVT4G5
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oPWpZ0
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oWEs9C
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oaoxHL
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pK0C1P
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2osQCpE
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pYq0gv
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pL9pAB
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pM5GCO
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oxojWe
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2plHMOC
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pM69lI
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2p0TdZ8
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pNJbuc
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oeGsgr
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pOWYAG
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ofDate
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oxKxZh
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pR1yys
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pRQDog
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oz7CdP
via IFTTT


Kategori

Kategori