WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 07/07/2015.
[Mikoa ya Tanga, Dar es
Salaam, Morogoro na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Kilimanjaro, Manyara
na Arusha]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Mara, Kagera, Mwanza,
Shinyanga na Geita]:
[Mikoa ya Tabora, Kigoma,
Lindi, Mtwara na Ruvuma]:
[Mikoa ya Rukwa, Katavi,
Mbeya, Iringa na Njombe]:
[Mikoa ya Dodoma na Singida]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
TAHADHARI
UPEPO MKALI UNAOZIDI KM 40 KWA SAA NA MAWIBI MAKUBWA YANAYOZIDI MITA
2.0 VINATARAJIWA KATIKA UKANDA WOTE WA PWANI.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
24°C
|
16°C
|
12:41
|
12:35
|
D'SALAAM
|
30°C
|
22°C
|
12:36
|
12:18
|
DODOMA
|
28°C
|
18°C
|
12:48
|
12:34
|
KIGOMA
|
30°C
|
17°C
|
01:11
|
12:59
|
MBEYA
|
23°C
|
05°C
|
01:03
|
12:37
|
IRINGA
|
25°C
|
13°C
|
12:51
|
12:31
|
MWANZA
|
30°C
|
19°C
|
12:53
|
12:50
|
TABORA
|
30°C
|
17°C
|
12:59
|
12:47
|
TANGA |
29°C
|
21°C
|
12:34
|
12:22
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
23°C
|
12:36
|
12:18
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini kwa kasi ya km 50 kwa saa kwa
Pwani ya Kaskazini, na kutoka Kusini -Mashariki kwa kasi ya km 40 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa.
Matazamio kwa siku ya Alhamis:
09/07/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 07/07/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.