BREACKING NEWSSSSSSS MAJINA MATANO YA WAGOMBEA YATANGAZA SOMA HAPA WALIOPITISHWA WANAWAKE WAWILI WATANGAZWA, MAGUFULI, MEMBE, MAKAMBA, AMINA SALUMU, ASHA ROSE MIGILO

Majina matano yatolewa tayari majira ya saa saba na nusu Nape Nnauye, atangaza live Star TV kutoka Dodoma, yafuatayo ni majina yaliyopita na wanawake wawili.

Taarifa kutoka kamati kuu ya CCM, Kupita StarTv Kuna Bernard Membe, January Makamba, john Magufulu huku wana wake wakiwa wawili, Asha Rose Migiro na Amina Salum Ally,

Leo jumamosi mda wowote majina mitatu yanaweza kutangazwa ni kwa mujibu wa napa Nnauye msemaji wa CCM.

   

Related Posts