- @ccm_tanzania no lowasa duh
- @bernad1 @ccm_tanzania ata kufa kwa pressure lakini membe katuliya
- @duale175 membe kiazi yule hana lolote yaan kikwete wa pili yule
- @bernad1 hahaha magufuli je? Lowasa wameogopa ata revenge
- @duale175 magufuri labda hapo
- @ccm_tanzania okay okay! Tunawashukuru kwa kutujuza, na poleni sana kwa shughuli hii nzito.
- @ccm_tanzania sas kazi ilobaki toeni wanawake wasindikizaji, nchi haiezi ongozwa na mwanamke
- @ccm_tanzania All is well.
- @ccm_tanzania Eeh for once I literally prayed for EL not to appear on that list..its done...thank God...AND two women have been selected
- @ccm_tanzania lowasa kanichania mkeka
- @ccm_tanzania safi wote ni majembe
- @ccm_tanzania amekatwa
- @ccm_tanzania Asanteni na poleni kwa shughuli hio maana haikua ndogo
- @ccm_tanzania @lowassateam poleni sana Dhambi ya ufisadi inazidi kuwatafuna i told u before. Lowassa asingepita kwa vyovyote.
- @ccm_tanzania kweli siasa sio umaarufu,maneno au sifa ni uwajibikaj,ubunifu,utekelezaj,uhodar na pia bila kusahau ahadi kwa wananchi
- @ccm_tanzania lowassa yupo wap jaman
- @ccm_tanzania haya Haya jamani bado tatu bora na hatimaye mshindi. Hongereni ccm kwa kazi nzito
- @ccm_tanzania hapo fresh sana ukawa kiulani....najua magufuli ndio mtampa
- @ccm_tanzania woyooooooo makamba rais wangu
- @ccm_tanzania finally! Imekuwa siku ndefu kwa kweli
- @ccm_tanzania hii ni crocodile vs alligator. Muweken makamba vijana tunamtaka
- @ccm_tanzania hongera kwauteuzi
- @ccm_tanzania lowasa mmemfanya hamna..!!!duuu
- @ccm_tanzania Cyo mbaya najua babu kawa sita bora
- @ccm_tanzania hongera kwenu... Mh. Lowassa angeweza pia kwa kua anajua sema siasa ni zaid ya mchezo wa karata
- @ccm_tanzania sawa, buana!
- @ccm_tanzania babuu vp mbona mmemuacha
- @ccm_tanzania sasa nilale na kusubiri kesho mchakato umalizike
- @ccm_tanzania kama naota vile lowasa out ?
- @ccm_tanzania kuna mambo mengi ya kujifunza ndani ya ccm
- @ccm_tanzania mbona Dr.Nchimbi ameng'ka? Ametoa kauli tata! Au kuna Rafu,kuna kujenga nguvu ya hoja na hoja ya nguvu. Pliz mamaz stei kando.
- @ccm_tanzania makamba anastahili kiongoz kijana mwenye nguvu na utash
- @ccm_tanzania u did well
- @ccm_tanzania safi sana
- @ccm_tanzania kweli Rais hachaguliwi kupitia makundi mitaani
- @ccm_tanzania no lowasa? No makongoro? Hata jaji ramadhani? I wonder!
- @ccm_tanzania uamuzi makini kutoka kwa chama makini
Habari Online na Elimtaa
CCM
Baada ya kutangazwa majina katika twitter ya CCM HIZI NDIO TWIT ZA MAFOLLOWER WA CCM
Post a Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)