Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amewahakikishia madaktari wa Tanzania usalama wakiwa nchini humo.
Alisema Serikali haina uwezo wa kibajeti wa kuajiri madaktari wote waliopo nchini licha ya kuwa kuna upungufu kwenye hospitali na vituo vya afya.
“Hiyo ni fursa kwa madaktari wasio na ajira kuichangamkia, ni hiari yao kuomba au kutoomba,” alisema.
KAMA ULIMIS VIDEO YA MCHEZAJI WA Ghana ALIE JIKANYAGA KWA KUWASHUKURU MUKE NA MCHEPUKO WAKE TAZAMA HAPA
from Blogger http://ift.tt/2n3ZimA
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2nOmiWA
via IFTTT