PHOTOSAn
Iranian man has broken the world record for the number of years spent
without bathing. He spent the last 60 years without a bath. The Iranian
News Agency (IRNA) recently published pictures of the 80 year old man.
 |
Mzee huyu Amoo Hadji anaishi
katika kijiji cha Dezhgah Wilaya ya Dehram district jimbo la Fars
nchini Iran. Anaishi kwa kula mizoga ya wanyama na kitu kikubwa
anachopenda ni kutumia kiko kuvuta kinyesi kikavu cha wanyama. Pia
anapendelea kushinda kwenye shimo lilichimbwa kama kaburi kwenye mwamba
wa mawe na pia huvaa helmet asikiapo baridi na kuwasha sigara nyingi kwa
wakati mmoja.(Picha zote na Mohammad Babaei, Islamic Republic News Agency) |
In its report, the agency noted that the man, Amoo Hadji, lives in
the village of Dezhgah in the Dehram district of Fars province in Iran.
The man eats dead animals, and his most prized possession is his
pipe, which is 3 inches in diameter, in which he smokes animal dung.
Amoo Hadji lives in a stone shack built for him by his neighbors and he
rests in a hole in the ground resembling a grave.
The news agency also noted that when he feels cold, he wears a helmet and lights up several cigarettes at a time.
Source: Al-Sharq. Photos by Mohammad Babaei, Islamic Republic News Agency
NA BLOGGU YA WANANCHI