Showing posts with label Iran. Show all posts
Showing posts with label Iran. Show all posts
Ndege iliyo anguka Iran yaua watu 40

Ndege iliyo anguka Iran yaua watu 40



Ndege ilioanguka nchini Iran

Ndege moja iliokuwa na abiria 40 imeanguka mjini Tehran nchini Iran.
Runinga ya taifa la Iran imesema kuwa abiria wote wamefariki .
Ndege hiyo ya kampuni ya Taban Air imeripotiwa kuanguka katika makaazi baada ya kupaa kutoka uwanja wa ndege wa Mehrabad Maghribi mwa mji wa Tehran.
Ndege hiyo inayojulikana kama Iran 141 ilitengezwa nchini Iran kupitia teknologia ya Ukraine.
Uchunguzi umeanzishwa kuhusu ni nini kilichosababisha ajali hiyo.
Iran imekabiliwa na ajali kama hizo katika siku za hivi karibuni kutokana na ndege zake zilizozeeka mbali na marekebisho mabaya inazozifanyia.
 Iran yatimiza matakwa kuhusu mpango wa nyuklia

Iran yatimiza matakwa kuhusu mpango wa nyuklia

Shirika la Kimataifa la Kudhibiti Nishati ya Nyuklia, IAEA limesema kuwa Iran imesimamisha shughuli za kurutubisha madini ya urani. Waangalizi wa shirika hilo walisema jana kuwa nchi hiyo imepiga hatua ya kwanza katika mpango wa kupunguza mpango wake wa nishati ya nyuklia. 
Hatua hiyo imefungua mlango kwa mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa Umoja wa Ulaya na Marekani kuidhinisha ahueni katika vikwazo vilivyowekwa na nchi hizuo dhidi ya Iran.
 Iran kuhudhuria mkutano wa Syria-UN

Iran kuhudhuria mkutano wa Syria-UN



Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa akiwa na waziri wa mambo ya nje wa Iran

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban ki-moon ameikaribisha Iran katika ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa amani kuhusu Syria utakaofanyika wiki hii, hatua iliyousababisha upinzani mkuu kutishia kuususia mkutano huo.
Muungano wa kitaifa wa upinzani Syria, unapinga kuhusika kwa Iran, lakini Ban ki Moon anasema anaamini kwamba Iran inapaswa kuwa sehemu ya suluhu ya mzozo huo.
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema kuwa alituma mwaliko huo kwa serikali ya Iran, baada ya kushauriana kwa zaidi ya siku mbili na waziri wa mambo ya nje wa Iran Mohammad Javad Zarif, ambaye amekubali kuhudhuria mkutano huo.
Kujihusisha kwa Iran kunamaanisha nchi zote ambazo zimetajwa kuhusika kwenye vita hivyo vya syria,zitahudhuria kongamano hilo la kimataifa litakalofanyika mjini Montreuz nchini Uswizi siku ya Jumatano.
Tangazo hilo la Iran limetoa matumaini katika juhudi za kusitisha vita hivyo vilivyodumu kwa zaidi ya miaka mitatu, baada ya baraza la upinzani la Syria SNC kuamua kuhudhuria.
Mazungumzo kati ya serikali ya rais Bashar al assad na upinzani yanatarajiwa kuanza mjini Geneva siku ya Ijumaa.

Fedha za Iran na Saudia Arabia

Iran ni mfadhili mkubwa wa fedha na vifaa vya kijeshi kwa serikali ya rais Bashar al Assad.
Bwana Ban pia ametuma mwaliko sawa na huo kwa serikali ya Saudi Arabia, ambayo hufadhili upinzani nchini Syria.
Akiongea na waandishi wa habari katibu huyo mkuu wa umoja wa mataifa amesema, wameafikiana na waziri wa mambo ya nje wa Iran, kuwa dhamira kuu ya mazungumzo hayo, ni kukubaliana kuhusu serikali ya mpito itakayokuwa na mamlaka.
Serikali ya Marekani na mataifa mengine ya Magharibi yalikuwa yamepinga Iran kuhudhuria mkutano huo ikiwa itakataa kuidhinisha azimio lililosaini na mataifa yenye ushawishi makubwa duniani tarehe thelathini juni mwaka wa 2012.
Azimio hilo liliidhinisha kubuniwa kwa serikali ya mpito nchini Syria.
Lakini serikali ya Iran imesema kuwa itawakilishwa kwenye mkutano huo mradi hamna vikwazo vyovyote.

ULIMWENGUNE TENA HII IRAN IMETOKEA

HUYU BINADAMU MWANAUME HAJAOGA MIAKA 60 MUWONE ANAVYOFANANAZZZ LIVE!!


Iranian man hasn't had a bath in 60 years
PHOTOSAn Iranian man has broken the world record for the number of years spent without bathing. He spent the last 60 years without a bath. The Iranian News Agency (IRNA) recently published pictures of the 80 year old man.




Mzee huyu Amoo Hadji anaishi katika kijiji cha  Dezhgah Wilaya ya Dehram district jimbo la Fars nchini Iran. Anaishi kwa kula mizoga ya wanyama na kitu kikubwa anachopenda ni kutumia kiko kuvuta kinyesi kikavu cha wanyama. Pia anapendelea kushinda kwenye shimo lilichimbwa kama kaburi kwenye mwamba wa mawe na pia huvaa helmet asikiapo baridi na kuwasha sigara nyingi kwa wakati mmoja.(Picha zote na Mohammad Babaei, Islamic Republic News Agency)


























In its report, the agency noted that the man, Amoo Hadji, lives in the village of Dezhgah in the Dehram district of Fars province in Iran.
The man eats dead animals, and his most prized possession is his pipe, which is 3 inches in diameter, in which he smokes animal dung. Amoo Hadji lives in a stone shack built for him by his neighbors and he rests in a hole in the ground resembling a grave.
The news agency also noted that when he feels cold, he wears a helmet and lights up several cigarettes at a time.
Source: Al-Sharq. Photos by Mohammad Babaei, Islamic Republic News Agency
NA BLOGGU YA WANANCHI
Makubaliano na Iran yafikiwa

Makubaliano na Iran yafikiwa


Iran na mataifa sita yenye nguvu duniani zimefikia makubaliano mapema leo Jumapili(24.11.2013) katika kudhibiti mpango wake wa kinuklia na kupata unafuu wa vikwazo.
(L to R) Vice Admiral Kurt Tidd, U.S. Secretary of State John Kerry and Russia's Foreign Minister Sergei Lavrov look to a boom microphone held by a member of the media, lower left corner, as they sit together during a photo opportunity at a meeting in Geneva November 23, 2013. Kerry and foreign ministers of five other world powers joined talks on Iran's contested nuclear programme on Saturday with the two sides edging towards a breakthrough to ease a dangerous decade-old standoff. REUTERS/Carolyn Kaster/Pool (SWITZERLAND - Tags: POLITICS MILITARY) Mawaziri wa kigeni John Kerry,(katikati)Sergei Lavrov (kulia)
Hii ni hatua ya kwanza katika kutatua mzozo huo uliodumu muongo mmoja.
Makubaliano hayo kati ya taifa hilo la Kiislamu na Marekani, Ufaransa, Ujerumani, Uingereza, Uchina na Urusi yalifikiwa baada ya zaidi ya siku nne za majadiliano.
"Tumefikia makubaliano," waziri wa mambo ya kigeni wa Iran Mohammed Javad Zarif ametangaza katika ukurasa wake wa Twitter. Waziri wa mambo ya kigeni wa Ufaransa Laurent Fabius pia amethibitisha kupatikana makubaliano hayo.
Iran itadhibitiwa
Rais Barack Obama amesema makubaliano hayo ya kinuklia na Iran ni "hatua muhimu ya kwanza " kuelekea kuondoa wasi wasi wa dunia kuhusiana na mpango huo wa kinuklia wenye utata wa taifa hilo la Kiislamu. Obama amesema makubaliano hayo yanajumuisha "udhibiti wa hali ya juu" dhidi ya Iran na kuzuwia taifa hilo kujipatia silaha za kinuklia.
U.S. President Barack Obama talks about the Affordable Care Act in the Brady Press Briefing Room at the White House in Washington, November 14, 2013. Obama bowed to political pressure from his fellow Democrats on Thursday and announced a plan to let insurers renew for one year the health plans for Americans whose policies would be otherwise canceled due to Obamacare. REUTERS/Larry Downing (UNITED STATES - Tags: POLITICS HEALTH) Rais Barack Obama
Iran itaweza kupata fursa ya kutumia dola bilioni 4.2 katika mabadilishano ya fedha za kigeni, kama sehemu ya makubaliano hayo, amesema mwanadiplomasia kutoka mataifa ya magharibi. Hakuna maelezo zaidi ya makubaliano hayo yaliyopatikana mara moja.
Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani John Kerry na mawaziri wenzake wa mataifa matano mengine yenye nguvu duniani walijiunga na majadiliano hayo pamoja na Iran mapema jana Jumamosi wakati pande hizo mbili zikionekana kufikia karibu na makubaliano ambayo yalikuwa yakitafutwa kwa muda mrefu.
European Union foreign policy chief Catherine Ashton (R) and Iranian Foreign Minister Mohammad Javad Zarif arrive at a news conference at the end of the Iranian nuclear talks in Geneva November 10, 2013. REUTERS/Jason Reed (SWITZERLAND - Tags: POLITICS TPX IMAGES OF THE DAY) Waziri wa kigeni wa Iran Mohammad Javad Zarif
Obama amesema hayo jana Jumamosi usiku muda mfupi baada ya Marekani pamoja na washirika wengine watano kufikia makubaliano ya mpito ya kinuklia na Iran.
Mazungumzo hayo yalilenga katika kutafuta hatua jumla za ujenzi wa hali ya kuaminiana ili kupunguza miongo kadha ya hali ya wasi wasi na kuondoa uwezekano wa vita katika mashariki ya kati kutokana na nia ya Iran ya kujipatia silaha za kinuklia.
Tehran yakana
Lengo la mataifa ya magharibi lilikuwa kuudhibiti mpango wa nishati ya kinuklia wa Iran , ambao unahistoria ya kukwepa wakaguzi wa Umoja wa Mataifa na wachunguzi, ili kuondoa hatari yoyote ya Tehran kurutubisha kwa njia ya siri madini ya urani katika kiwango ambacho kinaweza kutengenezwa bomu la atomic.
REFILE - ADDITIONAL CAPTION INFORMATION IN SECOND SENTENCE OF ATTRIBUTION OF QUOTE
European Union foreign policy chief Catherine Ashton (L) and Iranian Foreign Minister Mohammad Javad Zarif attend a news conference at the end of the Iranian nuclear talks in Geneva November 10, 2013. Zarif and Ashton said on Sunday they hoped Iran and six world powers would reach an agreement when they gather again in 10 days, adding that the latest round of talks on Tehran's nuclear programme was something all delegations can build on. REUTERS/Jason Reed (SWITZERLAND - Tags: POLITICS) Waziri Mohammad Javad Zarif (kulia)na Catherine Ashton(kushoto)
Tehran inakana kuwa inataka kurutubisha madini hayo katika kiwango cha kutengeneza silaha. Mswada wa makubaliano hayo ambao umekuwa ukijadiliwa mjini Geneva utashuhudia Iran ikisitisha urutubishaji wake wa kiwango cha juu cha madini ya urani ili kuweza kuachiliwa kwa mabilioni ya dola katika fedha za Iran zilizozuiliwa katika mabenki ya kigeni, na kuanza tena biashara ya madini ya thamani, bidhaa zitokanazo na mafuta pamoja na vipuri vya ndege.
Madini ya urani yaliyorutubishwa yanaweza kutumiwa kuendesha vinu vya nishati ya kinuklia ambalo ndio lengo la Iran, lakini pia yanaweza kutumiwa kutengeneza bomu la atomic iwapo yatarutubishwa zaidi.
Iran's President Hassan Rohani laughs as he speaks during an event hosted by the Council on Foreign Relations and the Asia Society in New York, September 26, 2013. REUTERS/Keith Bedford (UNITED STATES - Tags: POLITICS)
FREI FรœR SOCIAL MEDIA Rais wa Iran Hassan Rohani
Diplomasia iliongezwa kasi baada ya ushindi wa kishindo wa rais Hassan Rouhani , mwenye msimamo wa kati, katika uchaguzi nchini Iran mwezi Juni, akichukua nafasi ya rais mkakamavu Mahmoud Ahmedinejad.
Na DW>DE

Wajumbe wakubaliana katika mazungumzo ya Iran

Mataifa yenye nguvu duniani leo yamefikia makubaliano na Iran kuhusu mpango wake wa nyuklia. Kiongozi wa mazungumzo hayo Catherine Ashton pamoja na Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Iran Mohammed Javad Zarif wamethibitisha hayo mapema leo kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter. 

Tangazo hilo limetokea baada ya zaidi ya siku nne za mazungumzo jijini Geneva baina ya Iran na Marekani, China, Urusi, Uingereza, Ufaransa na Ujerumani yaliyosimamiwa na mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya Catherine Ashton. Mazungumzo hayo yalilenga kuishawishi Iran kusitisha mipango yake ya nyuklia na badala yake kuondolewa vikwazo vya kiuchumi ilivyowekewa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na nchi za magharibi. Mkutano huo ulikuwa wa tatu jijini Geneva tangu Hassan Rouhani alipochaguliwa kuwa rais wa Iran mwezi Agosti. 
Mawaziri wa Kigeni wa kigeni kutoka mataifa sita yenye nguvu waliwasili mjini humo jana Jumamosi baada ya wajumbe wa mkutano huo kupiga hatua muhimu. Rais wa Marekani Barack Obama anatarajiwa kutoa taarifa kuhusiana na makubaliano hayo baadaye leo.
habari na dw.de 

Kategori

Kategori