Mwanafunzi ajinyonga kwa kukosa ada ya Chuo

Mwanafunzi wa Chuo kikuu huko shauri moyo Jijini Nairobi achukua hatua ya kujiua baada ya kupita wiki mbili tu tangu arudishwe nyumbani kwa kukosa ada ya malipo.
Mwanafunzi huyo anae julikana kwa jina la Fredrick Kinyanjui mwenye Umri wa miaka 22 alikua ni mwaka wa pili katika chuo cha Multimedia amekutwa amejinyonga kwenye paa la nyumba yao jana jioni.
Mkuu wa Polisi kituo cha Buruburu DCI Jeremiah Ikiao amesema kuwa wachunguzi wamebaini mwanafunzi huyo alirudishwa nyumbani siku 14 zilizopita kwa kukosa ada ya chuo.
DCI Ikiao amesema kuwa mama wa kinyanjui alikua ameenda kazini wakati mwanafunzi huyo alipojinyonga
ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

from Blogger http://ift.tt/2rLK35K
via IFTTT