Rais Dk.Shein Ajumuika na Wananchi wa Makangale Pemba katika Sherehe za Mafanikio ya ya Mradi wa Hifadhi ya Misitu ya Asili (HIMA) Zanzibar.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Waziri wa Kazi na Uwezeshaji Zanzibar Mhe Haroun Ali Suleiman alipowasili katika viwanja vya msitu wa Asili wa Ngezi Makangale Pemba kwa ujili ya sherehe za mafanikio ya Mradi wa Hifadhi ya Misitu ya Asili Zanzibar (HIMA).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Waziri wa Afisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe Fatma Ferej alipowasili katika viwanja vya msitu wa Asili wa Ngezi Makangale Pemba kwa ujili ya sherehe za mafanikio ya Mradi wa Hifadhi ya Misitu ya Asili Zanzibar (HIMA)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Afisa wa Misiti ya Asili ya Jamii Rahika Hamad Suleiman akitowa maelezo ya miche ya miti mbalimbali ya matunda ya asili Zanzibar wakati wa maonesho ya Sherehe za Mafanikio ya Mradi wa Hifadhi ya Misitu ya Asili Zanzibar (HIMA) zilizofanyika kisiwani Pemba katika Kijiji cha Makangale Msitu wa Ngezi.  
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Afisa wa Misiti ya Asili ya Jamii Rahika Hamad Suleiman akitowa maelezo ya matumizi ya majiko ya zamani ya kutumia kunin hadi majiko ya sasa ya kutumia mkaa wakati wa maonesho hayo ya kuhifadhi mazingira ya misitu asili Zanzibar. 
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Afisa wa Maliasili Asili, akitowa maelezo ya kuhifadhi mazingira kwa kutumia malihafi ya makapi ya mbao kwa ajili ya matumizi ya kupikia wakati wa maonesho hayo. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiangalia sabuzi za Asili zinazotengenezwa kwa malighafi ya Pemba ya mti ya Mikaratusi, akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mkipi Miliki Co Ltd.ya Mzabarau Takao Pemba. Ndg Mohammed Abdalaah. wakati wa maonesho hayo.