MAAJABU: KUMBE YULE MTOTO WA AJABU ALIYEZALIWA INDIA ANAFANANA NA MUNGU WAO



Mtoto wa ajabu aliyezaliwa March 26 mwaka huu ambaye anasemaka kuwa mtoto wa ajabu kuliko watoto wote waliozaliwa kwa mwaka huu ambaye anasura kama tembo aliyezaliwa India anayetukuzwa kama mungu nchini kwao.Katika kijiji alichozaliwa mtoto huyo cha Aligarh, Uttar Pradesh India.


Kwa mujibu wa Daktari alisema hali ya mtoto huyo inasababishwa na urithi kutoka kwa mama na baba yake (genetic mutation). Kwa mujibu wa shangazi wa mtoto huyo anasema
"My sister-in-law gave birth to a girl and her face looks exactly like Lord Ganesha. Everybody is saying she is an incarnation of the god. This is why whoever hears about her is coming here to get a glimpse of the baby and are making whatever offerings possible."Anafanana na mungu wa Ganesha.