WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 29/05/2015.
[Mikoa ya Mara na Kagera]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mkoa wa Tanga pamoja na
Visiwa vya Unguja na Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu, Mvua
katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Mwanza, Geita na
Kigoma]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, ngurumo
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Dar es Salaam na
Pwani]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mkoa wa Morogoro]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Rukwa,Katavi,Ruvuma,Mbeya,Iringa
na Njombe]: [Mikoa ya Tabora, Shinyanga, Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Mtwara na Lindi]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA
MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
23°C
|
16°C
|
12:32
|
12:28
|
D'SALAAM
|
31°C
|
23°C
|
12:27
|
12:11
|
DODOMA
|
29°C
|
18°C
|
12:40
|
12:26
|
KIGOMA
|
30°C
|
19°C
|
01:02
|
12:52
|
MBEYA
|
25°C
|
10°C
|
12:53
|
12:31
|
MWANZA
|
29°C
|
18°C
|
12:45
|
12:43
|
TABORA
|
30°C
|
16°C
|
12:50
|
12:40
|
TANGA |
30°C
|
24°C
|
12:25
|
12:15
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
23°C
|
12:27
|
12:11
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka Kusini kwa Pwani ya
kaskazini na Kusini-Mashariki kwa Pwani ya kusini.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumapili:
31/05/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 29/05/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.