UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA WA JANA


WIZARA YA UCHUKUZI
                             MAMLAKA  YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 19/08/2015.

[Mikoa ya Mara na Kagera]:

Hali ya Mawingu kiasi, ngurumo katika Maeneo machache na vipindi vya jua.


[Mikoa ya Shinyanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Katavi, Mbeya, Kigoma, Tabora na Rukwa]:
[Mikoa ya Mtwara, Lindi, Iringa, Njombe na Ruvuma]:
[Mikoa ya Mwanza, Dodoma, Singida na Morogoro]:
[Mikoa ya Geita, Tanga, Dar es Salaam na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:



Hali ya Mawingu kiasi na vipindi vya jua.




VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:


MJI
Kiwango cha juu cha joto
Kiwango cha chini cha joto
Mawio (Saa)
Machweo (Saa)

ARUSHA
26°C
13°C
12:40
12:38
D'SALAAM
32°C
20°C
12:33
12:21
DODOMA
28°C
16°C
12:46
12:37
KIGOMA           
31°C
18°C
01:09
01:02
MBEYA
23°C
06°C
12:58
12:42
IRINGA
27°C
13°C
12:48
12:34
MWANZA
30°C
19°C
12:53
12:52
TABORA
32°C
17°C
12:57
12:50
TANGA
29°C
20°C
12:32
12:25
ZANZIBAR
30°C
23°C
12:33
12:21


Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Mashariki kwa Pwani ya Kusini.

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Madogo.

Matazamio kwa siku ya Ijumaa: 21/08/2015: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 19/08/2015.

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.