MBEYA KUMETULIA SHUGHULIZINAENDELEA


Jeshi la polisi mkoa ni Mbeya limewafikisha mahakani watu 46 kwa makosa mbalimbali ya ya kufanya mikusanyiko kwa siku mbili za jana na juzi wakati wa mgomo wa wafanyabiashara jijini Mbeya.

Akizungunza na waandishi wa habari kamada wa polisi mkoani Mbeya amesema kuwa watu 46 wamefikishwa mahakamani kati ya watu 105 ambao walikamatwa katika mgomo wa wafanyabiashara ambao waligoma kufungua maduka wakizipinga mashine za kielekroniki za kutolea risiti.

Amesema kuwa amani ya wanambeya italetwa na wanambeya wenyewe kwa kuhakikisha hawajichukulii sheria mkonono.

Kwaupande wake mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandolo amesema kuwa wanambeya wanatakiwa kuwa na utulivu na kuhakikisha Mbeya wakati wote kunakuwa na ambani kwani Vurugu zinahalibu mfumo mzima wa maisha.



Kwa upande wake Mwenyekiti wa wafanya biashara amesema kuwa viongozi wataenda kuwaamba wafanytabiashara wengine iliwaenelee na biashara ili Mbeya irudi katika hali yake ya kilasiku