Showing posts with label 2017 at 04:42PM. Show all posts
Showing posts with label 2017 at 04:42PM. Show all posts
PICHA: TAZAMA JINSI RICK ROSS ALIVYOPUNGUA UNENE

PICHA: TAZAMA JINSI RICK ROSS ALIVYOPUNGUA UNENE

Mwanamuziki wa hip hop wa nchini Marekani Rick Ross kwa sasa amepungua unene ambao mashabiki wake wengi walizoea kumuona na yawezekana kwa baadhi ya watu ambao hawajaona picha zake kwa muda mrefu, sasa watashangazwa kwa mabadiliko makubwa aliyonayo.
“Sasa hivi nimekuwa nakula vizuri, nafanya mazoezi na kuhakikisha nakuwa fiti muda wote na bado najisikia furaha na muonekano wangu kama kawaida,” alisema Ross kuliambia jarida la ‘PEOPLE.’
Ross amesema kwamba kupungua unene kumefanya ajisikie “vizuri zaidi ya ilivyokuwa mwanzo.”
Mwanzo, Rick Ross alilazimika kupungua zaidi ya kilo 34 alipoambiwa na daktari wake kufanya hivyo baada ya viungo vyake vya mwili kupooza ghafla ndani ya kipindi cha saa mbili tu toka apate tukio hilo mwaka 2011. Kabla ya kushauriwa kufanya hivyo, Ross alikuwa na uzito wa kilo 159 ambao ndio uzito mkubwa zaidi aliowahi kuwa nao maishani. Alianza kufanya mabadiliko yaliyosaidia kupungua unene.
Rick Ross ambaye mwanzo alikuwa akipenda kuonesha ubabe kutokana na ukubwa wa mwili wake, sasa anafurahiwa na wengi hasa walio wanene sana kwa kuwahamasisha kupungua na kufikia mafanikio yake.
“Nafurahi sana, bado naendelea kupunguza unene na sasa naanza kuongeza misuli badala ya minyama uzembe.”
Tazama picha zifuatazo kuona mabadiliko hayo:
C

from Blogger http://ift.tt/2udUeB6
via IFTTT


Saudi Arabia wafanya tukio la aibu wakati wa mchezo dhidi ya Australia.

Saudi Arabia wafanya tukio la aibu wakati wa mchezo dhidi ya Australia.

“Fair play” ndio kitu ambacho kimekuwa kikisisitizwa na Fifa kila siku, mpira unatakiwa utumike kama sehemu ya kuleta amani kati yetu,upendo kati yetu na pia kuwafariji wale waliopoteza faraja za maisha.
Lakini Saudi Arabia kwao ilikuwa tofauti wakati wa mchezo kati ya Saudi Arabia dhidi ya Australia, katika mchezo huo wachezaji walipaswa kujipanga mstari kabla ya mchezo huo kama kumbukumbu na pole kwa wahanga wa tukio la kigaidi lililotokea mjini London.
Australia walishikana mabega na wakajipanga mstari lakini wachezaji wa kikosi cha kwanza wa Saudi Arabia hawakufanya hivyo kwani kila mmoja alikaa kivyake akifanya yake na huku baadhi ya watu wa benchi lao la ufundi walionekana wakiwa wamekaa wakati wa tukio hilo.
Japokuwa kiongozi mmoja wa chama cha soka nchini Saudi Arabia amedai kwamba kwao utaratibu wa kupanga mstari huwa haupo lakini kumbukumbu zinaonesha kwamba mwaka 2005 timu hiyo ya taifa ya Saudi Arabia ilishawahi kupanga msatari kwa ajili ya “moment of silence”.
Chama cha soka cha Saudi Arabia kimeomba radhi kwa wahanga wa tukio hilo na kimesisitiza kwamba kinapinga kwa nguvu zote masuala ya kigaidi na tukio walilofanya halikuwa na nia ya kuwaudhi wahanga wa tukio lililotokea London.
Katika tukio hilo la kigaidi lililotokea London kulikwa na Waaustralia wawili waliofariki Sara Zelenak na Kirsty Boden walifariki katika mlipuko huo na Sara alikuwa ni nesi alifariki wakati akikimbia kwenda kujaribu kumuokoa mgonjwa.
ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

from Blogger http://ift.tt/2t26JfV
via IFTTT


Picha: Lema Amsindikiza Wema Mahakamani Leo…!!!

Mmh huu ukaribu sasa umekua wa mwendo kasi kwa kweli, sio kwa mahaba hayo
Wewe unamtazamo gani kuhusu picha hii?

DOWNLOAD APPS YA TZTOWN HAPA

http://ift.tt/2ms2574
WANANCHI WAOMBA SERIKALI KUODOA TAKA KIZIMBANI MAKAMBAKO MKOANI NJOMBE


from Blogger http://ift.tt/2mstWVn
via IFTTT


Kategori

Kategori