Ndugai: Hamna Cha Kesi, Mimi Ndio Spika Watakaa Benchi Mwaka Mzima

Mahakama zetu zimeendelea kudharaulika baada ya leo bungeni spika ndugai kusema wabunge waliosimamishwa vikao mwaka mzima wanakimbia kimbia tu hakuna cha kesi mimi ndio Spika.
Nimejiuliza,Ndugai anahakika gani kama mahakama itaamua tofauti na maamuzi yake ya kuwasimamisha mwaka?
Je,Ina maana Ndugai anauwezo wa kuingilia maamuzi ya mahakama mpaka kujipiga kifua hamna cha kesi?”Na kejeli”
Kauli kama hizi endapo mahakama itaamua kuendana na majigambo ya Spika ndugai hata kama maamuzi yake yatakuwa ya haki,zinapunguza imani ya wananchi kwa mahakama zao.Lazima mahakama ijipange la sivyo hadhi yake inaweza kuporomoka kabisa.
ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

from Blogger http://ift.tt/2tuIBWS
via IFTTT