Good News: Ali Kiba Atangazwa Kuwa Mmiliki wa Kampuni ya Rockstar4000

GOOD NEWS: #DirectorKiba ; 
Baada ya kufanya kazi na kampuni ya usimamizi wa kazi zake ya #Rockstar4000 kwa takribani miaka 6, usiku wa jana King Kiba alitangazwa rasmi kuwa sehemu ya wamiliki wa kampuni ya #Rockstar4000 Music Entertainment Co & Rockstar Television. 
Alikiba sasa anakuwa sehemu ya wasanii waliochini ya Rockstar4000 pia anakuwa Director of Music n Talents. 
Rockstar Television inajishughulisha na utengenezaji wa vipindi vya mastar tofauti kutoka nchi mbalimbali na kuvisambaza katika vituo vya Television vya kimataifa.
#MkurugenziAli #DirectorKiba
ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

from Blogger http://ift.tt/2slME40
via IFTTT