WABUNGE Wenye Hali Mbaya “Uchaguzi 2020”

“TATHMINI MAJIMBONI”

Mpaka tulipo fika sisi kama wananchi ni hakika kua tunaweza kutathmini hali halisi ya Utendaji wa Wabunge kwmye Majimbo yetu na hata Bungeni .

Embu kwa pamoja tujaribu kuyapitia majimbo ya wabunge ambao wapo kwenye Possibility kubwa ya kutokushinda tena 2020.
Na ni sababu vipi zitawafanya wabunge hao kupoteza majimbo yao ? .
Lengo.

1.Kuwapa Alert Wabunge husika kua active.(bado wana kamda)

2.Kuaanda watu wenye nia ya kugombania Ubunge 2020 kuyafahamu majimbo dhaifu mapema.

Ahsanteni.
By Mandella/JF

ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

from Blogger http://ift.tt/2rLsfrn
via IFTTT