Vincent Bossou: Timu 4 zimempa Ofa,Ikiwemo Hii Moja kutoka Tanzania

Bossou ambaye anatarajia kwenda Dubai kwa mapumziko ya Siku 10, amethibitisha kuwa kuna Timu 4 zinamwitaji ikiwemo Singida United na Timu 3 Ulaya.
“Nimepata ofa nchi tatu, kama mambo yataenda vizuri nikitoka Dubai nitaunganisha kwenda Uturuki kufanya mazungumzo ila kwa sasa siwezi kukutajia kwa sababu bado mapema sana,” alisema Bossou.
“Kwa Tanzania nimepata ofa Singida United, wenyewe wako tayari kunipa fedha nzuri, ikiwemo dau la usajili na mshahara mnono, hivyo mambo yakiwa magumu nitarudi kuwasikiliza,”
ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

from Blogger http://ift.tt/2sheGBs
via IFTTT