Maalim Seif Apata Pigo Kubwa zaidi Kutoka Kwa Lipumba, Bodi ya Lipumba Yasajiliwa na Ruzuku itakuwa yao

Kambi ya Cuf ya Ibrahim Lipumba imethibitisha bodi yao kupata usajili mpya kutoka RITA na sasa bodi ya wadhamini ya zamani imefutwa
Kwa sasa miamala yote ikiwemo ruzuku itakuwa inaingia kwenye akaunti na watakuwa wanachukua upande wa Lipumba na kutokana na bodi hiyo kufutwa wamesema kesi zilizokuwa zimefunguliwa dhidi yao na bodiya zamani watahakikisha zimefutwa.
Upande wa maalim seif wamesema kwa sasa hawana cha kuzungumza hadi watakapokaa
RITA walipopigiwa simu hawakupokea.
ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

from Blogger http://ift.tt/2stlx9X
via IFTTT