Anna Mgwira Ajivua Uanachama wa ACT Wazalendo….

Taarifa Kwa vyombo vya habari 
Mimi Anna mgwira nimejivua uwanachama wangu ACT-Wazalendo ili nikaweze kuwatumikia wana Kilimanjaro 
Kwakua nimejivua uwanachama mwenyewe moja Kwa moja nyadhifa zangu zote zitakuwa hazipo 
Namshukuru sana mh zitto Zuheri kabwe na wanachama wote ACT-Wazalendo kwakuniamini na kunipa nafasi ya kuwaongoza 
Hivyo kuanzia Leo tarehe 4/6/2017 Mimi sio mwanachama tena wa ACT-Wazalendo 
Kazi yangu sasa ni kuwatumikia wananchi kupitia nafasi yangu ya sasa ya Ukuu wa Mkoa Kilimanjaro 
Hii ni heshma kubwa kwangu na Kwa familia yangu Kwa ujumla 
Mungu awabariki 
Anna mgwira 
Leo 4/6/2017: saa7:30 mchana

from Blogger http://ift.tt/2suxV7p
via IFTTT