Mwalimu Jela miaka 4 kwa kumkashifu mwanafunzi wake

Mahakama ya Wilaya mwanakwerekwe imempeleka chuo cha mafunzo miaka 4 khamis Zahir mwalim (24) mkaazi wa Mfenesi maziziz Wilaya ya Mjini kwa kosa la kumkashifu mwanafunzi wake.
Imeadaiwa Mahakamni hapo na muendesha mashtaka wa Serikali Saidi Ali na Huda Othaman mbele ya hakimu Chausiku Kafuti Mkuya kwamba siku ya tarehe 17 disemba 2015 majira ya saa 3 asubuhi huko gulioni mshtakiwa ambe ni mwalimu wa Almadrasat Nnabiy iliyoko Gulioni alimshika na kunyonya matiti mwanafunzi wake wa kike mwenye umri wa miaka 13 jambo ambalo ni kosa kisheria
Awali aliposomewa kosa lake mshtakiwa alikataa nakupandishwa kizimbani kwa nyakati tofauti na Jana kusomewa hukumu yake.
Mshtakiwa amepelekwa chuo cha mafunzo miaka 4 ili akajifunze tabia njema na iwe funzo kwake na wengine wenye tabia kama hiyo.
Tazama video Mtoto amvua kofia
 Papa Francis

from Blogger http://ift.tt/2nmr3Fr
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nGRAkk
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2op24D1
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oiLIzl
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2mVCRDe
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2mVIYaG
via IFTTT

Related Posts