Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa ametahadharisha umma kuhusu habari hii bandia inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii.
Msigwa ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa taarifa hiyo si ya Ikulu na kuwa imetengenezwa na wahalifu wa mitandao hivyo kwa kuwataka wananchi kuipuuza.
Hapa chini ndiyo taarifa husika;
ANGALIA VIDEO CHIDEO
from Blogger http://ift.tt/2lPMrWH
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2lPzDQ0
via IFTTT