Mbunge Jesca Kishoa kayasema haya baada ya kukamilisha adhabu ya kuwa nje ya Bunge…(+Audio)

Feb 4 2016 Mbunge wa viti maalum CHADEMA Jimbo la Iramba Magharibi Jesca Kishoa aliingia kwenye headline baada ya kusimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge vilivyo salia baada ya kukataa kufuta kauli yake ya kumtuhumu Waziri wa Katiba na Sheria DkHarrison Mwakyembe.
Leo amekamilisha siku ya pili ya adhabu yake, kama haukuwa karibu na mimi kwenyeAmplifaya ya Cloudsfm nimekusogezea na hapa.
Bonyeza Play kusikiliza
by Millardayo