Kuachiliwa kwa Pistorius kumepingwa


Mwanariadha Oscar pistorius
Waziri wa sheria nchini Afrika Kusini amepinga uamuzi wa kuachiliwa kwa mwanariadha Oscar Pistorius.
Michael Masutha amasema kuwa uamuzi wa kumuachilia mwanariadha huyo umechukuliwa mapema.
Oscar Pistorius na Reeva Steenkamp