Usiku wa kuamkia Krismahi hii gari ya Azam yala mkenge Njombe

CONTACT WITH ELIMTAA BLOG BY: CALL :+255 788 056115 EMAIL: furahanews1@gmail.com Facebook: www.facebook.com/elimtaa Twitter: www.twitter.com/@elimtaa "ANY TIME CALL US FOR ADVERTISEMENT, OR ANY NEWS YOU WANT APPEAR TO Elimtaa Blog" Elimtaa 'more news update your mind'
lilikuwa na shehena ya viazi mviringo ni barabara ya Njombe - Ruvuma kati ya hospitari ya kibena na kituo cha polisi njia panda ya kwenda makete mkoani njombe kabla ya kuinuliwa mzigo ulipakuliwa kwanza huku gari nyingine ya azam iliyo tupu ikiwa jirani

ajali hiyo inasemakana imetokea majira ya usiku wa sikukuu ya krismasi, picha by 0656049045