Chadema: Wananchi wahoji kifungu kilicho ondolewa

 Katibu bavicha Taifa Patrick Ole Sosopi
 Hapa John Mnyika pale Saulum Mwalimu Njombe hiyo
 Wananchi nao kwa umakini Duh!!! huku wakilindwa na polisi hadi rahaaaaaaaaaaa!

 Mwalimu alishusha Vitu kwa wana Njombe
 Mwalimu akimkaribisha Mnyika jukwaani

 Mnyika nae aliongea


CHADEMA Imewataka wananchi kote nchini kuhoji aliyeondoa kifungu cha kumuwajibisha mbuge atakapo shindwa kufanya aliyo tumwa bungeni.

Akizungumza na melfu ya wakazi wa Mkoa wa Njombe, Naibu katibu mkuu bara John Mnyika alisema kuwa CCM watakapo leta Katiba pendekezwa mbeleyao wawahoji walio ileta katiba hiyo kuw ani nani aliye ondoa kifungu cha kuwabana wabunge ambao watahalibu kabla ya kufikisha miaka mitano, na ninani aliyeondoa kifungu cha miaka ya ukomo wa uongozi.
  
Hivyo alisema kuwa CCM wanavyo sema wanataka kutetea haki za wananchi wanawadanganya kwa kuondoa kifungu hicho na kumshukia kinana kwa kuzunguka nchi nzima na kusema kuwa serikali hii ina mawaziri mizigo,

Alisema kuwa wanawaziri mzigo wa maji, Waziri mzigo wa elimu na ndio maana sasa kuna matokeo makubwa sasa badala yake kuna matokeo mabaya sasa (Bad result Now) na kubadilisha madaja mpaka kuweka dalaja la tano na wenye we CCM  wanakili.

Alisema kuw awananchi walitaka mawaziri wawajibishwe wakishindwa kusimamia miradi kama ya maji, Kilimo, Ya wanawake, Vijana CCM wameondoa hicho kifungu kilicho pendekezwa na wananchi kwenye rasimu ya Jaji Walioba na kupitisha katiba haramu.

Alisema katiba iliyopitishwa na  na CCM inaendeleza mambo yale yale ya zamani, na kusema kuwa amemsikia Katibu mkuu wa CCM Abdlahaman Kinana katika vyombo vya habari akisema kuwa eti kwa sababu ya wafanyakazi wa umma kuwa na utendaji mbovu watakuwa na mikataba mifupi ili kuwaondoa wale watakao oinekana kufanya vibaya.

Naye Katibu msaidizi kwa upande za Zanzibar Salum Mwalimu, Alimshukia Mwanaseria kuu wa Tanzania, Jaji Walema kwa kuhoji huharali wa maamuzi ya Jaji mkuu wa Zanzibar kufuatia kupiga kura ya wazi ya hapana, na hapo ni maamuzi ya wanzanzibar.
  
Alisema kuwa wazanzibar hawajaumbw akwa uoga wala unafki na wao wanapenda kusimamia haki na alisema anamwambia jaji Walema, ile kula ya hapana ni ya serikali na asijisumbue kichwa.

Kwa upande wake Katubu Mkuu wa baraza la Vijana Chadema taifa (Bavicha), Patrick Ole Sosopi alisema kuwa ili wananchi wabadilike kimaendeleo ni lazima wakubali kubadilisha viongozi na maendeleo hayataweza kuja kutokana na viongozi walewale wa zamani.


Alisemam kuwa elimu ambayo tuna ipata haoa nchini inatolewa kwa mfumo wa kutafuta ajira na sio kujiajiri  na watoto wao wanapataelemu ja kujiaji na kuwa viongozi na kugusia Rais na Mwanae Ridhiwani Kikwete.