Akijibu hoja hiyo ya Mwandishi Jaji Warioba amesema “Kwanza nakuhakikishia Kwamba hoja hiyo haina Mashiko wala Umuhimu Wowote wa Kuzuia Uwepo wa Serikali tatu, Mimi nadhani hizo ni Hoja za Kujitungia Kama zile ya Kusema Kwamba Serikali tatu ni Gharama, Kitu ambacho nilikwishakitolea Ufafanuzi wa Kina. Kuhusu Jambo hili, Kwani Wewe Kwa Mtazamo wako
“Kati ya Majaji na Wanasiasa ni akina nani Wanaoijua Migogoro ya Muungano huu!?…naomba Utambue Kwamba Majaji Wanaijua Vyema Migogoro hii na Vyanzo vyake Kuliko hao Wanasiasa, na ndio Sababu tunasema Suluhisho lake ni Serikali tatu ambazo haziepukiki hata Ufanyeje. Nawasilisha!
Na Jamii Forums
