Imeelezwa kwamba ili bara la Afrika liwe na uhakika wa kujipatia chakula
kwa ajili ya kuwalisha wakaazi wake, linahitaji kupiga hatua za haraka
katika matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano (TEKNOHAMA).
Kilimo nchini Burundi.
Sylivanus Karemera anaangazia umuhimu wa teknolojia ya habari na
mawasiliano katika kukuza kilimo barani Afrika na uwezekano wa kulifanya
bara hilo kuwa na chakula cha kutosha.Kusikiliza makala hii, bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
habari na Dw.De