TANESCO YAKASILIKA YASHIKILIA GARI




SHIRIKA la umeme nchini Tanesco limesema kuwa linalishikilia gari lililo sababisha kuanguka kwa nguzo nne za umeme jijini Dar es Salaam jana.

Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutoa taarifa ya maendeleo ya marekebisho ya visima vya gesi ya asili mkurugenzi Mtendaji wa shurika hilo Felichesmi Mramba, alisema kuwa watalishiria gari hilo mpapa litakapo lipa nguzo hizo.

Alisema kuwa mmiliki wa gari hiyo anapashwa kulipa nguzo hizo na ili kulipata galilake na asipo fanya hivyo Tanesco ilaliuza kwa mnada gali hiyo.

“Tutaliuza gari hilo tunalolishikiria kwa kuziangusha nguzo nne za umeme maeno ya Michocheni na kusababisha katizo la umeme ka baadhi ya maeneo ili tanesco kufidia hasala iliyo pata baada ya kuzirekebisha nguzo hizo.

Alisema kuwa jeshi la polisi halitakubaliana kuingia hasara kwa uzembe wa watu wengine na litahakikisha nguzo hiyo inalipwa.