KAZI NA SIMU KIPI BORA


ASKARI HUYU ALIKUTWA NA Lyamba Lya Mfipa akiwa amesahau wajibu wake wa kuhakikisha usalama wa raia na mali zao hasa fedha katika kituo chake cha kazi cha Benki ya CRDB tawi la Mbeya mjini jijini Mbeya.Kwake simu ni muhimu kuliko kazi aliyopewa hapa.Namba yake iliyosomwa katika sare yake tunaihifadhi 
picha na Lyamba lya mfipa Blog