WANACHUO WAASWA KUHUSU USHOGA



 WANAFUNZI wa vyuo vikuu ambao ni waumini wa dhehebu la Katoliki mkoani Mbeya wamedai kuwa wamekukipambana na changamoto ya ushawishi wa kujihusisha na ushoga vyuoni kwao.

Wakisoma risala yao mbele ya Mhasamu askofu wa katoriki jimbo Mbeya Ask. Evaristo Chengura katika semina kwa muungano wa wanafunzi wa vyuo vikuu na taasisi za elimu waumini wa Katoriki Mbeya (MUCCASA), walisema kuwa wamekuwa wakikabiliana na changamoto ya ushoga vyuoni.

Akisoma risala hiyo Mwenyekiti wa Muccasa, Alfred Nditi alisema kuwa wamekuwa wakikabiliana na changamoto ya uhamasishwaji wa masuala ya ushoga unaoshawishiwa na mataifa makubwa ya ughaibuni.

Alisema ushawishi huo umekuwa ukiwalenga vijana hasa walio katika vyuo mbalimbali vya elimu ya juu hapa nchini ili wajikite katika uovu huo.

“Ushoga umekuwa ukihamasishwa na mataifa mbalimbali hasa yale makubwa ya Ughaibuni na ukitulenga vijana tulio kwenye vyuo vikuu hapa nchini,” Alisema Nditi.
Alisema ili kupambana na changamoto hizo wanamatarajio ya kupinga ushoga kwa kauli moja ili kukidhi dhana ya Mungu na uumbaji wake.

Nditi aliongeza kuwa upingaji wa ushuga utakuwa ni wa kauli moja kwa wanaMuccasa na kuhakikisha dhana ya Mungu ina heshimiwa na thamani ya binadamu ienziwe.

Naye Askofu Chengula alisema kuwa ushoga umekuwa ukipingwa sana na viongozi wote wa dini lakini umekuwa ukiendeshwa chini chini na baadhi ya watu.

“Ushoga unapigiwa sana kelele lakini kumekuwa na watu wanaouendesha chini kwa chini na kwa siri kubwa katika maeneo mbalimbali na hasa katika vyuo,” alisema Ask. Chengula.

Aliwaasa wanamuccasa kwu kuwaonya wale watakao wakuta wanakijihusisha na mambo hayo machafu na kuwashawishi kuachana na matendo hiyo.

Alisema ni vema wakawapatia elimu juu ya kuachana na mambo hayo na kuwaeleza madhala na ubaya wa Ushoga katika maisha yao kwani wengine wanakuwa wameathirika kisaikolojia.

Semina hiyo kwa wananchuo ililenga kuwaelimisha wanachuo hao juu ya imani yao na jinsi ya kusimama katika imani ambapo ilihuzuriwa na wanachuo kutoka katika vyuo mbalimbali vya Mkoani Mbeya.

Muccasa ni muunganiko wa wanachuo kutoka katika vyuo vikuu na taasisi za Mkoani hapa na inajumla ya matawi 20 ya wanamuccasa.

Furaha kutoka Elimtaa anaripot

1 comments:

Hello from France
I am very happy to welcome you!
Your blog has been accepted in Africa Tanzania n°15 a minute!
We ask you to follow the blog "Directory"
Following our blog will gives you twice as many possibilities of visits to your blog!
Thank you for your understanding.
On the right side, in the "green list", you will find all the countries and if you click them, you will find the names of blogs from that Country.
Invite your friends to join us in the "directory"!
The creation of this new blog "directory" allows a rapprochement between different countries, a knowledge of different cultures and a sharing of different traditions, passions, fashion, paintings, crafts, cooking,
photography and poetry. So you will be able to find in different countries other people with passions similar to your ones.
We are fortunate to be on the Blogspot platform that offers the opportunity to speak to the world.
The more people will join, the more opportunities everyone will have. And yes, I confess, I need people to know this blog!
You are in some way the Ambassador of this blog in your Country.
This is not a personal blog, I created it for all to enjoy.
SO, you also have to make it known to your contacts and friends in your blog domain: the success of this blog depends on all Participants.
So, during your next comments with your friends, ask them to come in the 'Directory' by writing in your comments:
*** I am in the directory come join me! ***
You want this directory to become more important? Help me to make it grow up!
Your blog is in the list Africa Tanzania n°15 and I hope this list will grow very quickly
Regards
Chris
We ask that you follow our blog and place a badge of your choice on your blog, in order to introduce the "directory" to your friends.
http://nsm05.casimages.com/img/2012/09/06/12090603083012502810288938.gif
http://nsm05.casimages.com/img/2012/03/19/120319072128505749603643.gif
http://nsm05.casimages.com/img/2012/07/12/12071211040212502810092867.gif
http://nsm05.casimages.com/img/2012/03/28/120328020518505749640557.gif
http://nsm05.casimages.com/img/2012/03/15/1203150723211250289584870.png
http://nsm05.casimages.com/img/2012/09/21/12092110155912502810343002.gif

If you want me to know the blog of your friends, send me their urls which allows a special badge in the list of your country
I see that you know many people in your country, you can try to get them in the directory?
Please! Actively support the "Directory" by making known to your friends! Thank you! "Unity is strength"
Not need an invitation to join the Directory. Any person who makes the request is entered
WE ASK YOU TO FOLLOW OUR BLOG "DIRECTORY"
New on the site
Ranking of Countries
Invite your friends know made ??
the website to raise your ranking in the Country