JESHI la polisi mkoani Mbeya
linamshikilia mkazi wa Maporomoko mji
mdogo wa Tunduma wilayani Momba baada ya kukutwa na bangi zaidi ya kilo moja.
Kaimu kananda wa polisi
Mkoani hapa barakael Masaki, amemtaja mtuhumiwa huyo kwa ni Emmanuel Simwawa
(19), alikamatwa na askari wakiwa doria maeneo ya Maporomoka Tunduma akiwa na
kilo moja na Gramu 10 za bangi.
Masaki amesema kuwa mtuhuniwa
huyo alikuwa na bangi zikiwa katika mfuko wa Rambo akizisafirisha kundanazo
nchi jirani ya Zambia,
pia ameongeza kuwa mtuhumiwa amewekwa mahabusu wakati upelelezi ukiendelea.
