Showing posts with label 2017 at 10:06AM. Show all posts
Showing posts with label 2017 at 10:06AM. Show all posts
Kutolewa Bango la Mtaa wa ‘Victor Wanyama’ ni Mpango wa Siasa Chafu- Bonface Jacob

Kutolewa Bango la Mtaa wa ‘Victor Wanyama’ ni Mpango wa Siasa Chafu- Bonface Jacob

Boniface Jacob Meya wa Maspaa ya Ubungo amesema kuwa Mpango wa kuondolewa kwa bango la Mtaa wa Mchezaji wa Soka Nchi uengereza ni Mapango ulioratibiwa kwa chuki za kisiasa kwake,
Jacob akizungumza kwa njia ya Simu amesema kuwa aliyeratibu mapgo huo ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kwa madia kuwa anahakiki kuwa taratibu za Kuupa jina Mtaa Wanyama zilifutwa ama hapana.
amsema kuwa kitendo hicho kimedhihiirisha chuki kutokana na dalili za uwepo wa Meya huyo wa Chadema katika mchakato wa kuupa mtaa huo jina la Mchezaji Wanyama ambaye yupo Nchini kwa Matembezi.
Meya jacob amasema kuwa mchezaji huyo aliyekubali kushiriki kuangalia ligi ya ndondo Cup aalionesha nia ya kuwasaiid vijana wa kitanzania wenye hamsa ya kucheza soka lenye tija.
Jacob kitendo hicho ambacho si cha kiungwana kinaweza kumkatisha tamaa mchezaji huyo ambaye angweza kuwa rafiki nzuri wa Tanzania na kupata tija kupitia mlango wa soka.
jacob amefafanua taratibu za kuupa mtaa jina kuwa zilipita kwenye uongozi wa mtaa wa viwandani nao waliriridhia na wana mamlaka ka Serikali ya Mtaa.
ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

from Blogger http://ift.tt/2sRHUVa
via IFTTT


TEMBO Wavamia Kijiji na Kuharibuharibu Mashamba ..!!!

TEMBO Wavamia Kijiji na Kuharibuharibu Mashamba ..!!!

Tembo zaidi ya 20 wamevamia vijiji vya Wenje mpakani mwa Tanzania na Msumbiji wakitokea nchini Msumbiji ambapo tembo wawili wameuawa na wananchi na kuondolewa meno mawili na kugawana nyama yao huku tembo wengine zaidi ya 30 wakivamia kijiji cha jakika wakitokea Pori la Akiba la Selou na kuharibu zaidi ya ekari 50 za mazao mbalimbali.
Hayo yameelezwa na Kaimu Afisa wanyamapori wa wilaya ya Tunduru Bw.Limbega Hassan aliyeongoza kikosi cha askari wanyamapori waliokuwa wakiangalia usalama wa tembo na wananchi ambapo wananchi wamemng’oa meno mawili tembo mmoja na kuondoka nayo huku meno mawili ya tembo mwingine yakisalimishwa kituo cha polisi cha Tunduru.
Kaimu Afisa wanyamapori huyo wa wilaya ya Tunduru anasema kuwa wamewakamata watu watano wanaodaiwa kuhusika na kuwaua tembo wawili na kutoweka na meno huku wekiwatafuta wengine wawili wawachukulie hatua na pia mikakati ikiwekwa kuwadhibiti tembo katika vijiji vitano vinavyosumbuliwa na tembo.
Hata hivyo pamoja na makundi makubwa ya tembo kuingia kwenye vijiji na kuleta taharuki mkuu wa wilaya Tunduru Bw. Juma Homera amesema kuwa hali ya usalama iko shwari askari wanyamapori wamefanikiwa kuwadhibiti tembo hao na hakuna mwananchi aliyedhurika.

from Blogger http://ift.tt/2p2e52f
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2p6Bx07
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ox7ICS
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oUq9E4
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oUJPrz
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ppyJMJ
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ohUuxX
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oBp7to
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oCiRS0
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pUNvrR
via IFTTT


HII Hapa Taarifa Mpya Kuhusu Hali ya Umeme Nchini Kutoka Tanesco..!!

HII Hapa Taarifa Mpya Kuhusu Hali ya Umeme Nchini Kutoka Tanesco..!!

Shirika la umeme Tanzania TANESCO limesema kuwa utunzaji wa vyanzo vya maji vya mto ruaha mkuu ambavyo vinapatikana wilaya za Wanging’ombe na Makete mkoani Njombe unasaidia kuongeza Maji yanayohitajika katika ufuaji wa umeme kwenye mabwawa ya Mtera na Kidatu.
Kaimu mkurugenzio mtendaji wa TANESCO Dr Tito Mwinuka akiwa katika ziara ya kikosi kazi maalumu kilicho undwa Hivi karibuni na makamu wa raisi Samia Suluhu Hassani akiwa mkoani Iringa kwaajili ya kutunza ikolojia ya mto Ruaha mkuu amesema kuwa Asilimia 41 ya umeme unaozalishwa hapa nchini unategemea maji na huwa ni bei nafuu.
Mwenyekiti wa kikosi hicho kilichopangiawa kuzulu vyanzo vya maji vya mto Ruaha mkuu katika mkoa wa Njombe Katibu Tawala wa mkoa wa Njombe Jackson Ole Saitabau amesema lengo la kikosi hicho kuundwa ni kurudisha hali ya utiririshaji wa maji katika mto ruaha mkuu.
Baadhi ya wananchi wilayani Wangingombe wanaotunza vyanzo mto Ruaha mkuu vya Mbukwa na Mtitafu vilivyoko katika vijiji vya Nyumbanitu, Igima na Mlevela wameeleza changamoto zinazowakabili katika kuhifandhi vyanzo hivyo pamoja na kutoa mapendekezo kwa serikali kusimamia sheria.

from Blogger http://ift.tt/2pODPz1
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pP8bBB
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ofJZv0
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oxackQ
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pR5BLp
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pRDAmC
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oyG6xm
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oW6Z0N
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oWGOXT
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pbyELF
via IFTTT


UKWELI Mchungu…Perfume ya Diamond na Niliyoyawaza,,!!!

UKWELI Mchungu…Perfume ya Diamond na Niliyoyawaza,,!!!

Nilikuwa napata elimu kidogo ya kibiashara sehemu, na jambo kubwa lilikuwa namna ambayo Diamond kaja nayo juu ya Perfume yake, nimemfikiria Diamond kwa sababu ni staa kama wanavyoweza kuwa mastaa wa michezo pia wakaanzisha biashara zao.
Swali kubwa lilikuwa bei lakini pia Chapa (brand) aliyoingia nayo sokoni.
1. Bei ya Perfume ya Diamond ni 105000, yaani laki moja na elfu tano. Hii ina maana kuwa wenye uwezo wa kununua hii ni kwa kiasi kikubwa nusu ya wale walioweza kulipa Elfu Hamsini kuingia kwenye show yake Mlimani City. Nasema hivi kwa sababu kwa bei hii kuna brand kubwa Ulaya zenye bei jirani na hiyo ambazo watu wataendelea kuzinunua.
2. Washabiki Wengi wa Diamond ni watanzania. Kipato cha siku cha Mtanzania wa kawaida ninaambiwa hakizidi elfu 70 kwa siku kama tukiamua kukadiria juu sana, lakini wengi wanaishi chini ya Dola 5, yaani elfu 12 hivi. Hii ni changamoto.
3. Biashara ya msanii au staa yoyote ni nadra kuhusishanishwa na kazi yake. Kwa mfano Rihanna viatu vya Fenty vipo chinii ya kampuni kubwa za Puma, sio kwamba hawezi kuanzisha kampuni yake. Air Jordan zipo chini ya Nike, sio kwa sababu hakuweza kuanzisha kampuni, Ronaldo na Pestana Hotels aliingia ubia na wafanyabiashara wakubwa. Msingi wa hili ni kuondoa fikra za watu wanaonuua kuendana na mziki au kipaji chako, ili siku ukishuka ubaki katika soko.
Mikataba ya ushirikiano hii uweka mlinganyo wa kudumu zaidi. Hapa Diamond angeweza kuja chini ya nembo ya kampuni yoyote kubwa, na Fragrance zake zikaitwa hata Armani Chibu, na hii ingefanya Giorigio Arman wafungue kampuni yake nchini.
4. Lakini pia huwa namkubali Diamond kwenye promotion. Sidhani katika hii chibu kama alifanya maandalizi sahihi. Ile amusement na excitement (kufurahia na kuitamani) bidhaa hajaiweka kipindi hiki. Hata yeye mwenyewe hajaonekana katika promo hata kujaribu kuonyesha ina harufu gani, inafaa chumbani kwa namna gani, mtu atafeel vipi akiwa nayo ofisini na mambo mengine ambayo yangevuta wateja wake.
5. Mwisho, bado naamini Diamond ni mpiganaji, kijana wa kipekee na ambaye anajaribu kuleta utofauti wa kufikiri katika kila jambo na kuweka misingi ya fikra za ujasiriamali. Lakini nahisi hili hapa lilichangiwa kwa kiasi kikubwa kuamini katika jina lake kabla ya kufanya utafiti wa walaji wake. Hii ingeambatana na Deodorant na Spray ambazo zingekuwa bei rahisi, angewachota wa Masaki na kwa bibi yangu Magu pale Mwanza.
Mwisho wa siku, bado anahitaji kupongezwa, ni uthubutu wa kipekee huu. Akili yake nimeshindwa kuifananisha na staa yoyote wa Tanzania kwa sasa, katika sekta zote. Hawapo jirani yake, lakini alipoelekea sasa, Menejimenti yake inatakiwa kuwa makini. Uwekezaji huu sio wa muziki sasa, misingi ya uchumi, biashara izingatiwe. Sio kipaji tu huku, ni mahesabu kwelikweli.
Ni mimi mpendasoka Nicasius Agwanda (Coutinho). Nimeandika baada ya kupewa elimu pia.

from Blogger http://ift.tt/2pOIxge
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2p6xfpF
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oxhy7V
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oUoKNU
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oUOMQX
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ppD4PV
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ohUvlv
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oBGAle
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oCngUU
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pV5hv8
via IFTTT


Kategori

Kategori