PICHA: MABAKI YA MWILI WA BABA MZAZI WA SPIKA NDUGAI YAZIKWA UPYA DODOMA

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu CCM Abdalah Bulembo (Mbunge) akitoa salamu kwa niaba ya Wabunge wa CCM , Katika Tukio la Mazishi ya mara ya Pili ya Marehemu Yustino Ndugai Baba Mzazi wa Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai . Marehemu Yustino alifariki Mwaka 1992 na amezikwa mara ya Pili June 17 , 2017 katika makaburi ya familia ya Ndugai Kijij cha Chimoloto Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma
Waiziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa Salamu za Serekali kwa Wananchi , Katika Tukio la Mazishi ya Mara ya Pili ya Marehemu Yustino Ndugai Baba Mzazi wa Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai . Marehemu Yustino alifariki Mwaka 1992 na amezikwa mara ya Pili June 17 , 2017 katika makaburi ya familia ya Ndugai Kijij cha Chimoloto Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Wziri Mkuu Kassim Majaliwa . akiweka Shada la Maua katika kaburi alipo Zikwa Kwamara ya Pili Marehemu Yustino Ndugai Baba Mzazi wa Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Job Ndugai. Shughuli hiyo imefanyika June 17 , 2017 katika makaburi ya familia ya Ndugai Kijij cha Chimoloto Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma. PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU
 ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

from Blogger http://ift.tt/2sqVD4K
via IFTTT