PICHA: KOREA KASKAZINI YAANZISHA MAFUNZO YA KIJESHI KWA WATOTO WADOGO

Korea Kaskazini yaanzisha mafunzo ya Kijeshi kwa watoto nchini humo kuwaandaa na mapambano dhidi ya “ukoloni wa Marekani” na kumlinda Rais wao mpendwa, Kim Jong-un.
Mwalimu katika shule hiyo ya Kijeshi amesema, “Watoto wetu wanajua kuwa Rais Kim Sung wa pili na jenerali Kim Jong wa pili ni baba zao na katika shule hii wanajifunza kwa bidii kama wanavyotaka. Hiki ni Chuo cha hali ya juu kabisa kinachoandaa Jeshi la Korea.”
“Tunasoma kwa bidii kwa sababu tunajua hivyo ndio tutakavyoweka kulipa kisasi dhidi ya ukoloni wa Marekani. Ninasoma kwa bidii nipate ufaulu wa juu kwenye masomo ya Kijeshi kama vile mbinu za kivita na kulenga shabaha,” ni kauli ya mmoja ya wanafunzi vijana katika chuo hicho.
ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

from Blogger http://ift.tt/2rILwtD
via IFTTT