Rais wa Misri, Abdel Fattah al-Sisi yupo, Washington, D.C nchini Marekani ambapo anatarajia kukutana na Rais wa Marekani, Donald Trump na kufanya naye mazungumzo.
Rais Abdel Fattah al-Sisi atakuwa kiongozi wa kwanza kutoka barani Afrika kukutana na Rais Trump. Lakini pia, alikuwa ndiye kiongozi wa kwanza wa Afrika kuzungumza na kumpongeza Trump baada ya kushinda katika uchaguzi mkuu wa Marekani uliofanyika Novemba 8, mwaka jana.
Masuala ya mgogoro kati ya Palestine na Israel yanatarajiwa kutawala sehemu kubwa ya mazungumzo yao, lakini pia masuala ya ugaidi duniani wakiegemea zaidi kupambana na kundi la kigaidi la Dola la Kiislamu (ISIS).




Viongozi hawa walikutana Septemba mwaka jana jijini New York wakati Rais Sisi alipokuwa nchini humo kuhudhuria Mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN).
from Blogger http://ift.tt/2otjm54
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2nADRZA
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2nwom4e
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2nT4WtG
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2nwGE5a
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2ou8Rys
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2oCsVfg
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2ov81Bf
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2ouZdMf
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2oSaNx8
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2ovzcwn
via IFTTT