Rais Magufuli mbioni kuhamia Dodoma

Rais wa Jamhuri wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli ametembelea uwanja wa Chamwino mkoani Dodoma na kuwahakikishia wananchi kuwa atahamia Dodoma hivi karibuni kama alivyoahidi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) Elius Mwakalinga kuhusu kazi za ufyatuaji wa Matofali yatakayotumika katika ujenzi wa Ikulu Chamwino mkoani Dodoma
Hii ni taarifa yake:

MAAJABU!!!..Mwanamke awawezesha wanafunzi 

Kenya kutazama anga za juu

from Blogger http://ift.tt/2m9a0es
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2mPUe5g
via IFTTT

Related Posts