Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) mpaka jana joini zilikuwa bado zimefungwa kutokana na ofisa mmoja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutoziona funguo za ofisi hizo alipoziweka.
Ofisi za TFF zilifungwa Jumatano ya wiki hii kufuatia limbikizo la deni ambalo ni zaidi ya shilingi bilioni moja la tangu mwaka 2010 ikiwa ni deni la kodi la ujio wa timu ya Brazil, kodi ya mshahara wa aliyekuwa kocha wa timu ya taifa, Taifa Stars, Marcio Maximo pamoja na deni la mwaka jana la mechi ya Yanga na TP Mazembe ambao mashabiki waliingia bure.
Ofisa Habari wa TFF, Alfred Lucas amesema kuwa, hadi kufikia jana mchana ofisi hizo hazikuwa zimefunguliwa kutokana na baadhi ya mambo kutokamilika ikiwa ni pamoja na kutoonekana kwa funguo za ofisi hizo.
“Jana (juzi) viongozi wa TFF walikutana na TRA kujadiliana suala hilo na kufikia muafaka ambapo kiasi cha fedha Sh milioni 300 kililipwa ili kuweza kufungua ofisi hizo lakini ilishindikana kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo.
“Tumewasiliana nao leo lakini muhusika ambaye anatakiwa kufungua ofisi amesahau alipoziweka funguo,” alisema Lucas.
SOURCE: CHAMPIONI
from Blogger http://ift.tt/2mCMCBg
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mZDHNM
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2n8vrLU
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mZQnEo
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2mCWlrh
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nygOSX
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2nkv15w
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2n0jZBu
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2nl6NYW
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mUx8dC
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2nDlLa5
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nlI1I5
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2nQBX6Y
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2n1zV6D
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2mEelS0
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mHDs7r
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2n2LdYi
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2mgBBu8
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nah6OV
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2nnNZIi
via IFTTT
Related Posts

Ajib Ataka Milioni 60 Asaini Singida United..!!! ajib, Simba KIUNGO Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Ajib, amewataka Singida United kumpa Sh milioni 60 ili wapate saini yake kwa ajili ya kuwatumikia msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Ajib ambaye kaonyesha nia ya kuondoka Simba baada ya mkataba wake kuisha na kwenda kutafuta changamoto nyingine ya soka, jina lake limetajwa na kocha Hans Pluijm kwenye kikosi chake. Tayari mchezaji huyo amekwishaweka bayana kuwa anahitaji fedha hizo na endapo itashindikana, hawezi kujiunga na timu hiyo mpya kwenye Ligi Kuu msimu ujao. Mbali na Ajib pia timu hiyo imeonyesha nia ya kumtaka mchezaji wa Yanga, Deus Kaseke ambaye naye anahitaji Sh milioni 40. Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Singida United, Festo Sanga, alithibitisha kufanya mazungumzo na wachezaji hao, lakini bado hawajafikia hatua ya kuwafanya wasaini katika klabu hiyo. “Ni kweli tunawahitaji na tumefanya nao mazungumzo na tumeweka wazi kiasi ambacho tunacho mkononi, ila inaonekana wao bado hawapo tayari, hivyo tunawasubiri wao wakiwa tayari sisi hatuna shida muda wowote wakitufuata tutasaini,” alisema Sanga. Alisema kuwa malengo yao msimu huu ni kusajili wachezaji 25, wapya wakiwa 14, saba kutoka nje na saba wengine kutoka ndani, huku mpaka sasa wachezaji wa ndani bado watatu kwa kuwa wamesajili wawili tu. 



