Ahsante Mwigulu., naamini mkuu hatokutumbua sababu alietoa bastola hakuwa Daudi Bashite… Ingekuwa ni Daudi Bashite alietoa Bastola Alafu wewe ukaagiza Hatua zichukuliwe ungeondoka kaka. Haki vile ingekuwa Mtoa Bastola ni Daudi Bashite Alafu ukato agizo hili saaa hivi ningekuwa nachangisha michango ya Farewell party yako!!
Alafu Vipi makosa ya Bashite?? Huyo mbona humgusi?? 
Nakutania tu , linda kibarua chako mwaya, Huyo Hata ukimuita kwa mahojiano tu kazi huna!!!
TAZAMA JAMAA HUYU ALIVYOKOSWA KOSWA NA KIFO KWA AJARI MTONI
from Blogger http://ift.tt/2mXNznP
via IFTTT