KENYA: Mahakama imeizuia Serikali kuajiri Madaktari kutoka Tanzania kwa sababu ndani ya nchi hiyo kuna Madaktari 1,400 wasioajiriwa.
Mpaka sasa takribani watanzania 400 wenye taaluma ya Utabibu wameomba kazi hiyo.
Rais Magufuli alikubali ombi la kupeleka Madaktari 500 ili kupunguza uhaba wa Madaktari nchini Kenya kutokana na mgomo unaoendelea nchini humo.
Tazama video Mtoto amvua kofia
Papa Francis
Papa Francis
from Blogger http://ift.tt/2nHD5wu
via IFTTT