Alichokisema Vanessa Mdee kwa Mara ya Kwanza Baada ya Kuachiwa na Polisi…!!!

Vanessa Mdee amezungumza kwa mara ya kwanza tangu atoke rumande Jumatatu hii baada ya kushikililiwa na polisi jijini Dar es Salaam kuanza Jumatano ya wiki iliyopita.
Muimbaji huyo wa Cash Madame amewashukuru wote waliompa pole wakati alipokuwa ameshikiliwa na kudai kuwa ataachia wimbo mpya wiki hii.
“I love you all sooo much 😚,” ameandika kwenye Twitter.
“It is by his Grace alone 💜 Utukufu kwa Mungu wetu wa miujiza.
Thankyou for your kind tweets and posts. I got a glimpse of some of them and this kinda loooooove 😍,” ameongeza.
“AND incase you were wondering. I am doing so fine. Infact new music out THIS WEEK 😙.”


DOWNLOAD APPS YA TZTOWN HAPA

http://ift.tt/2ms2574
WANANCHI WAOMBA SERIKALI KUODOA TAKA KIZIMBANI MAKAMBAKO MKOANI NJOMBE


from Blogger http://ift.tt/2mRQuBB
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2m3EAGl
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nqyzn7
via IFTTT