TRUMP AMGARAGAZA CLINTON KURA 73

KWELI kuungwa mkono na watu wengi sio kuchaguliwa, Mwanamama Hillary Clinton lakini katika kinyang'anyilo cha kuingia white house ya Malekani Donald Trump ameibuka kidedea kwa kura 288 dhidi ya kura 215 balizo pata Clinton.

Hii ni ajabu kwa mutu aliye kuwa akiungwa mkoani na watu wengi lakini kwenye kula anakuja kuanguka.